Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeNarudi nyumbani mkuu.
Parcel haikutumwa make driver kafika muda mbaya msamvu akahofu kutuma kwa kuhofia parcel kupotea!
Cool down friend coz am sure with what m doing.
B4 receiving your parcel; think of paying me the remaining balance!
With no doubt, your parcel will be in Dar early 11:00am tmor.
Plz clear the remaining balance...
Baada ya kutoka pale nimemona mtu wa hatari sana ila nitapata nafasi ya kupita pale wiki ijayo nikipata chansi nitaleta mrejeshoAlikuwa na akili sana darasani, akasoma udsm, amejenga ghorofa kibosho na kanunua pickup imepaki tu hapo kibosho sijui narumu au umbwe, ameajiriwa mgahawani nabyuo kiloko loko, alikupa no ya simu baada ya hapo ahapatikani, hana simu kwa sasa, hahahahaa, changanya zako mkuu utapata majibu, au nenda break point k nyama unaweza mkuta
Ngoja nikupe true story
Kuna mbaba mmoja huku niliko alikuwa anauza soksi, anatembeza soks kila mahali, na ofis yoyote alikuwa anaingia, mpa hospitalini wodi zoteee, mji mzima ulimjua kwa jina la" sokesi" alikuwa akivaa yebo mpaka inatoboka, ana maswali sana, nanakiona vipi anaanza kutwanga injili, alikuwa mlutheri, ila watu walijua ni anasali tag, lakini kumbe sio, watu walijua ni maskini na ameokoka kumbe sio, hayo yote yalijulikana sikubaliyokufa ghafla kwa tatizo la apendex, raia walishanga msiba unasimamiwa na ofisi ya mkuu wa mkoa na wilaya, na gari za serikali kibao msibani, na serikali ndo ilisimamia msiba wake, mambo yoote ndo yalifichuka hiyo siku
Najua mtani nikisema pole utanielewa japo imechelewaKwa hiyo unataka kusema nini??
Hahahaah mtani asante. Nimeelewa sanaNajua mtani nikisema pole utanielewa japo imechelewa
Usalama wa nn au ndo nnUsalama huyo
Anashangaa kumuona dada aliesoma Chuo kikuu nje Leo anauza mgahawaMkuu ulitaka kutuambia nini haswa ktk stori yako?