Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Vijana wanapiga libeneke la kimataifa, hakuna mzembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wanapiga libeneke la kimataifa, hakuna mzembe
1. Mkataba wa kupangashiana ulisemaje???. Ulikataza mtu kuwa na wenza ktk Unit yake? Ulikataza mila au desturi au imani ya kuwa na wanawake wengi??Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.
Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.
Sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.
Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo Dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.
Nazima simu.
Mtoa mada ana hoja.Acha wivu mzee.
Umekurupuka...sio sahihi
kuingilia faragha ya wapangaji wako