Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Ungemuonya Kwanza kwakuwa ww Una sauti.. lakini pia vipengele vingine uweke kwenye mkataba maana unaweza gombana na Watu wengine unavunjaje mkataba WA mpangaji kinyemela hivo
 
Acha wivu we Mzee, umejuaje kama ni wanawake tofauti?. Kwahio kijana asinyoshe mgongo nyie ndio wenye nyumba wakuda ambao mnasema aje akutambulishe mwanamke mmoja, wakiachana Je?.

Pangisha walio oa na kuolewa basi, vinginevyo kamata Kodi yako tulia, vijana wafanye yao.

Ngoja siku moja, huyo anaekuletea taarifa amtie mimba binti yako, ndio utamkumbuka huyo aliekua anatoa magoma mbali.
Kijana wa Hovyo Mjini.
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Audio ipo wapi? Leta ushahidi
 
Ukizubaa ka una msichana (mwanao/house girls) anapita nayeee ...... mama mwenye nyumba mmmmhhh
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Kweli hili ni gubu la mwenye nyumba. Huku ni kuingilia maisha binafsi ya watu. Na si wapangaji wote wanaopanga hawana nyumba. Wapo wanaopanga na wana wapangaji pia.

Ipo siku watakeleka na viungo watakuoigia simu. Muelekeze mwamba watu wake wapunguze makelele ingawa ni ngumu na huwezi kupangia nani aingie naye. Vinginevyo waambie madalali wakuletee wapangaji wanandoa na viongozi wa dini
 
Acha wivu we Mzee, umejuaje kama ni wanawake tofauti?. Kwahio kijana asinyoshe mgongo nyie ndio wenye nyumba wakuda ambao mnasema aje akutambulishe mwanamke mmoja, wakiachana Je?.

Pangisha walio oa na kuolewa basi, vinginevyo kamata Kodi yako tulia, vijana wafanye yao.

Ngoja siku moja, huyo anaekuletea taarifa amtie mimba binti yako, ndio utamkumbuka huyo aliekua anatoa magoma mbali.
Du! kweli shetani yuko kazini
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Ungechelewa angepita na mkeo
 
Nipe namba yake Hawa nawapenda ana wapange kwangu
 
Usiku wa manane chochote utakachofanya chini ya decibel 20 kitasikika kwa sauti ya juu.. ni usumbufu kusikia sauti za wapenzi wakifanya mapenzi tena kwa sauti ya juu
Hilo n tatizooo la mwenye nyumba ukitrnganisha vizuri huwezi sikia makelele
 
Umemuonea bure.....Wacha Kijana aukunjue Mwili..Hao wapangaji hawajalala Mpaka usiku wa Manane? Maana kama mtu amelala, hawezi kusikia hizo kelele.
 
Uyo aliyekupa huo umbea kama ni mwanaume ajitafakari sana ni either ana hormone za kike ns kama ni mwanamke basi ana wivu anataka akagongwe yeye
 
Acha wivu we Mzee, umejuaje kama ni wanawake tofauti?. Kwahio kijana asinyoshe mgongo nyie ndio wenye nyumba wakuda ambao mnasema aje akutambulishe mwanamke mmoja, wakiachana Je?.

Pangisha walio oa na kuolewa basi, vinginevyo kamata Kodi yako tulia, vijana wafanye yao.

Ngoja siku moja, huyo anaekuletea taarifa amtie mimba binti yako, ndio utamkumbuka huyo aliekua anatoa magoma mbali.
Sauti na miguno ilikuwa tofauti tofauti.
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
landlord kumbe na ww upo Jamii forum
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.

Hakuna mtu aliyestaarabika anayeweza kufanya huo ujinga, Fukizia mbali Kabisa!
 
Back
Top Bottom