Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Ukiwa na kibamia halafu ukasikia mwamba anapiga show hadi mtoto anaomba poo lazima utoke povu tu
 
What is the difference?
Kwamba wakifanyia huko kwingine inakuwa siyo ngono au siyo uzinzi?
Sasa nani anamuona
Aende akapige kelele huko asisumbue watu Kuna watoto usiku hawalali utashangaa siku vitoto hapo mtaani vinaanza kulia liankimahaba😀

Mm naheshimu uhuru wangu na watu wengine shughuli zangu na baby wangu tunamalizia maeneo tnayoona nitajiachia sio kwenye nyumba za watu na km ikiwa but Kwa adabu na heshima
 
Mababu umeongea kwa uchungu kweli.
 
Tatizo nahis si Father house.. tatizo ni huyo mpangaji mnafki aliyechoma kwa Father house.. na Dingi inaonyesha hana uwezo mkubwa wa kufikir akaamua atoe maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…