Leo nimemfumania live bila chenga

Kuna siku nilimwambia mdogo wangu, kama hautaki karaha usijihusishe kabisa na mambo ya mahusiano iwe mapenzi au ndoa. Ukiamua tu kuingia kwenye hii tasnia, hayo yategemee japo sio kwa wote. Pole sana
Nilikuelewa..Na Sijaingia Kwenye Mambo...Maana hata sijawah sikia story nzur ya hayo mambo zaidi ya vilio.mm..Nashukuru Kwa Muongozo Wako!!! [emoji1] [emoji1] !!
 
Mbona na wewe huwa unachepuka, sema tu jamaa hajawahi kukufumania
 
...yaani hata yeye hajui imekuwaje...msamehe
 
Kuna siku nilimwambia mdogo wangu, kama hautaki karaha usijihusishe kabisa na mambo ya mahusiano iwe mapenzi au ndoa. Ukiamua tu kuingia kwenye hii tasnia, hayo yategemee japo sio kwa wote. Pole sana

Mapenzi ndio yanayoleta hadithi hapa duniani.
 

Mapenzi yako hivyo kwa pande zote. Leo umemfuma live mme , kwa upande wa pili haya hutokea pia. Mapenzi si mchezo wa kuingia bila plan B.
 
''hivi wanaume kwanini hamtosheki jamani? ''

Dada zangu wa siku hizi hapa ndipo mnapofanya kosa kubwa sana kudhani mwanamume anapokosa kuwa mwaminifu kwako ni kwa sababu ya kutotosheka.

1. wengi mpo kwenye mahusiano ambayo hayakuanza rasmi, mlikutana na mkaanza ''kugegedana'' na ukaridhia kwa kudhani kwamba hiyo inatosha kumfanya jamaa aone kuwa wewe peke yako unatosha. Ukweli ni kwamba wengi huwa mnaingia kwenye mahusiano na wanaume wa wanawake wengine.

2. Kutokuwa wazi na uwezo wa kujieleza. Wengi mpo kwenye mahusiano na wala huulizi kama jamaa ana mpango wa muda mrefu au yupo na wewe kwa muda tu?

Hii dunia ya leo mkiendelea hivi mtaumia sana, jamaa anajua anachokifanya na bahati nzuri anajua utakubali msamaha wake halafu ataendelea na mambo yake kama kawaida.

Pole, chukua muda wako na ujichunguze kama unastahili kuwa na mahusiano na mtu wa namna hiyo....
 
Huyo si wako ndo maana hayo yame happen,tulia utapata wako ataekupenda kwa dhati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…