Leo nimemfumania live bila chenga

Siku Utakayoacha Kuishabikia UKAWA nitafute ili tutengeneze Upendo Wa milele.

Nishachoka kupigana vikumbo na Wewe kule kwenye jukwaa la Siasa..

jaman ibra kwahiyo UKAWA wameniponza
 
Nakupongeza kwa kuamua kuwa mpole, umejiepusha na mengi na umelinda hadhi yako. Sasa jipe muda wa kujipumzisha, hata kwa miezi mitatu we funga moyo wako, baada ya hapo ndio ufungue aingie mwingine!

asante askari
 
hata ukiwa single utaingia tena kwa mtu mwingine hata part time...we jua mapenzi ni kizunguzungu tuu ndio utakuwa na nafuu
 
* Huwa mna utaratibu wa kupitiana asubuhi.
* Umefika ukagonga mlango, hajafungua.
* Ukasikia jiko la gesi likiwashwa na maji ya kuoga kubandikwa.
* Baada ya dakika 40, ukasikia sauti ya kike.
* Alipofungua mlango , akakutana na macho yako makavu.
* Hakujali, akaendelea zake kuelekea bafuni, wewe ukaingia hadi chumbani kumsalimia mwenza, na kurudi kukaa sebuleni.
* Jamaa kamaliza kuoga, anakuuliza kwanini hujaenda kazini umesimama tu nje (Ulitoka sebuleni saa ngapi sijui)

Na saa kadhaa baada ya fumanizi, ukaja na title "Leo nimemfumania live bila chenga". Hmm!!.


 
 
jaman ibra kwahiyo UKAWA wameniponza

nadhani Itakuwa hivyo, Haiwezekani mimi nipo katika msemo wa Hapa kazi tu harafu wewe unagombea jinsi ya Kuzika... Mapenzi ni Ubunifu Mama na niwajibu wako.. Njoo pm kwa Ushauri Zaidi
 
Piga chin haraka xn uyo mbwa asije akakuua na ukimwi
 

Njoo kwangu upate furaha ya moyo..htajuta baby
 
aliuliza why nilikua nimesimama tu nje muda wote huo, hivi kufumania ni mpk ukute dyudyu imeingia?nmeingia ndani nkamkuta bint yupo naked
 
Pole sana, Fanya yako ila km hutaki mapenzi yako yapotee hiv hiv, komaaa tu IPO siku ataacha na kukuheshim
 
aliuliza why nilikua nimesimama tu nje muda wote huo, hivi kufumania ni mpk ukute dyudyu imeingia?nmeingia ndani nkamkuta bint yupo naked
Kwahiyo jamaa alifungua mlango, akakutana na macho makavu, akaenda kuoga na kukuacha ukiingia ndani kuonana na mwenzio, alivyomaliza ndio akaanza "kujishaua"? I'm too retarded to buy.
 
kumbe ulienda na kisu kabisa
 
pole mwaya ndo wanaume wa cku hzi inauma jamani basi ty
 
Acha uchoyo naww kizuri kula na ndguyo. Kwan kaimaliza mashine dada wa watu? Si amekunwa kidogo na amekuachia naww?

Wanawake mbona wachoyo mnataka mule peke yenu? Haa!

Mkeo angefanyiwa hivyo ungethubutu kusema hivyo mkuu?
 
Kazi ya moyo ni kusukuma damu, kupenda ni ulimbukeni wako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…