Leo nimemnywesha haja ndogo shemeji yenu mpenda kula

Leo nimemnywesha haja ndogo shemeji yenu mpenda kula

Ukimchoka mwanamke kuna njia nyingi za kumuacha,hii imefanikiwa

Hanaga mambo mengi ye
akifika gheto huwa ni kuparamia kila kinacholiwa ndio mambo mengine yaendelee

Last time aliparamia kila kilichokuwa mbele yake kama msukule,mimi huwa sipendi kumsimanga mtu kuhusu vyakula ila niliona kazima nimkomeshe, asubuhi nimekojoa kwenye kopo la grand malt nikijua leo anakuja.

Kama niliota,alivyokuja tu akaparamia grand malt yangu chapa mkojo akapiga funda moja,sekunde nyingi akaicheua na kukunja uso kama amemeza shubiri.
Mkojo wa mtu mzima sio mchezo

Nilitaka kucheka ila nikakausha tu,mission possible

Haya yote ni sababu last time alibugia pombe yangu kama kunikomoa

Mlevi mlie chakula chake ila sio kuchezea pombe yake
Kah ila watu.
 
Mtu kabugia kojo😂,
Punguza uchoyo
 
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Acha uchoyo,,usikute anawaza ninafurahi Sana nikienda nyumbani kwa....Kuna vitu vidogo vidogo vya kula ...wakati mwingine ukisikia anakuja andaa chips kula kidogo au kuku mzima jifanye umegusagusa alafu umeacha....hivyo ndio vinavyonogesha mapenzi mwingine anapenda kuokota okota vichenji vya kwenye droo...mwingine anapenda movies ...zaidi ni Uhuru ...kumbe we unamuwazia vibaya mwenzio...
Ushauri muoe maisha ya ndoa ni Bora kuliko uzinzi
 
Acha uchoyo,,usikute anawaza ninafurahi Sana nikienda nyumbani kwa....Kuna vitu vidogo vidogo vya kula ...wakati mwingine ukisikia anakuja andaa chips kula kidogo au kuku mzima jifanye umegusagusa alafu umeacha....hivyo ndio vinavyonogesha mspenzi mwingine anapenda kuokota okota vichenji vya kwenye droo...meingune anapenda movies ...zaidi ni Uhuru ...kumbe we unamuwazia vibaya mwenzio...
Ushauri muoe maisha ya ndoa ni Bora kuliko uzinzi
Yaani akija huwa hapiki,afanyi chochote,simsimangii misosi ila pombe yangu inaniuma sana,wewe mtu anapiga dompo peke yake huko ni kukomoana tu,ingekuwa misosi wala nisingemzingua
 
Ukimchoka mwanamke kuna njia nyingi za kumuacha, hii imefanikiwa.

Hanaga mambo mengi, ye akifika gheto huwa ni kuparamia kila kinacholiwa ndio mambo mengine yaendelee.

Last time aliparamia kila kilichokuwa mbele yake kama msukule, mimi huwa sipendi kumsimanga mtu kuhusu vyakula ila niliona kazima nimkomeshe, asubuhi nimeweka haja ndogo kwenye kopo la grand malt nikijua leo anakuja.

Kama niliota, alivyokuja tu akaparamia grand malt yangu chapa haja ndogo akapiga funda moja, sekunde nyingi akaicheua na kukunja uso kama amemeza shubiri. Haja ndogo ya mtu mzima sio mchezo.

Nilitaka kucheka ila nikakausha tu, mission possible. Haya yote ni sababu last time alibugia pombe yangu kama kunikomoa.

Mlevi mlie chakula chake ila sio kuchezea pombe yake.
Kama umemchoka mtu siunamwambia tu, unashindwa kumueleza unachotaka umekuwa mwanamke uwaze kujivictimize. Maturity na masculinity traits bado hazijakomaa au kukua akilini mwako
 
Ukimchoka mwanamke kuna njia nyingi za kumuacha, hii imefanikiwa.

Hanaga mambo mengi, ye akifika gheto huwa ni kuparamia kila kinacholiwa ndio mambo mengine yaendelee.

Last time aliparamia kila kilichokuwa mbele yake kama msukule, mimi huwa sipendi kumsimanga mtu kuhusu vyakula ila niliona kazima nimkomeshe, asubuhi nimeweka haja ndogo kwenye kopo la grand malt nikijua leo anakuja.

Kama niliota, alivyokuja tu akaparamia grand malt yangu chapa haja ndogo akapiga funda moja, sekunde nyingi akaicheua na kukunja uso kama amemeza shubiri. Haja ndogo ya mtu mzima sio mchezo.

Nilitaka kucheka ila nikakausha tu, mission possible. Haya yote ni sababu last time alibugia pombe yangu kama kunikomoa.

Mlevi mlie chakula chake ila sio kuchezea pombe yake.
Hivi si ulisema karibia unastaafu ndugu ?

Kweli wewe ni kibabu.
 
Back
Top Bottom