Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
- Thread starter
- #21
Sijui alikuwa anawaza niniKumbe mtoto ulimkuta naye .
Ila kuna single mother wanachezea bahati kazingua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui alikuwa anawaza niniKumbe mtoto ulimkuta naye .
Ila kuna single mother wanachezea bahati kazingua.
Nimekomeshwa🤣🤣Kwahiyo hadi muda huu wako nje siyo?
Alikuja aumlishe na mwanaye
We hujiulizi kwanini aliyemzalisha kmtelekeza na mtoto?
Umejidai tasaf,saidia Kaya maskin😂
Pole tafuta mwingine umlishe na mwanaye manake yaonekana ndo kipaji chako.
Congratufuckinlations to her😂💔💔🚮Sijui alikuwa anawaza nini
Huyo mke atakuwa ni???!Huyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material.
Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na mwanaye wanakaanga ndizi, viazi ulaya na nyama wanaweka na kachumbari. Siku akinipikia wali nyama, wao wanakula wali nyama na matunda/ juice. Yaani Ni lazima aweke utofauti kwenye mlo wangu na wa kwao. Nimemuonya mara nyingi aache ubaguzi maana hela ya chakula siyo yake iweje wananibagua? Lakini hakusikia
Nikaona niwafukuze tu
Tumezozana usiku wa kuamkia Leo hataki kutoa vitu nje lakini nimemshinda.
Ni Muha wa Kibondo, Kigoma Region TanzaniaHuyo mke atakuwa mchaga!
Kumbe ni muha mkuu😂😂💔🚮Ni Muha wa Kibondo, Kigoma Region Tanzania
Ndiyo. Mbona umeshangaa?Kumbe ni muha mkuu😂😂💔🚮
Waha ni wabinafsi sana. Nimeishi kibondo kama 1 year hivi sijawahi waelewaga wanawake wa kule.Ndiyo. Mbona umeshangaa?
Sasa nipo Kibondo mkuu. Nimeshuhudia hili kwa macho. Alafu Wana dharau za kipumbavu SanaWaha ni wabinafsi sana. Nimeishi kibondo kama 1 year hivi sijawahi waelewaga wanawake wa kule.
Kibondo..
Ilitakiwa ajue vizuri sababu za kuachwa kabla ya kuwa naye pamoja.Pole mkuu....ukitaka mapenzi na single mother unapaswa ufikirie mara mbili. Kumbuka baadhi yao kuna wanaume mwengine walishashindwa wakaamua kubwaga manyanga!
Umeona mkuu pia hawazingatii usafi kwa nlivo waona mimi.Sasa nipo Kibondo mkuu. Nimeshuhudia hili kwa macho. Alafu Wana dharau za kipumbavu Sana
Hawasemagi ukweliIlitakiwa ajue vizuri sababu za kuachwa kabla ya kuwa naye pamoja.
Pole mkuu. Hapo wanazingua sana ukweli humweka mtu huru.Hawasemagi ukweli
Maduka Saba Kama unaelekea Soko la samakiUmeona mkuu pia hawazingatii usafi kwa nlivo waona mimi.
Kibondo sehem gani?
Muite dronedrake 🤓🤓😂😂😂😂😂😂nimecheka sana
Niongezee sauti au inatoshaa
Mara nyingi Wana play victims(kujitanya ameonewa na mwanaume aliyemuacha) kumbe yeye ndiye kamtibuaPole mkuu. Hapo wanazingua sana ukweli humweka mtu huru.
Pole, huyo mtoto umezaa naye au alikuja naye kutoka kwa mwanaume mwingineHuyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material.
Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na mwanaye wanakaanga ndizi, viazi ulaya na nyama wanaweka na kachumbari. Siku akinipikia wali nyama, wao wanakula wali nyama na matunda/ juice. Yaani Ni lazima aweke utofauti kwenye mlo wangu na wa kwao. Nimemuonya mara nyingi aache ubaguzi maana hela ya chakula siyo yake iweje wananibagua? Lakini hakusikia
Nikaona niwafukuze tu
Tumezozana usiku wa kuamkia Leo hataki kutoa vitu nje lakini nimemshinda.
😂😂😂😂anakuja soonMuite dronedrake 🤓🤓