Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Ko kila siku watu wanavyosema single maza ni maboya,wabinafsi,na wabaguzi wewe huwa husikii siyo??☺️Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko kila siku watu wanavyosema single maza ni maboya,wabinafsi,na wabaguzi wewe huwa husikii siyo??☺️Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
😃 aje atoe neno😂😂😂😂anakuja soon
hiyo ndio nini kwa huyo majeruhi?Wewe una harakati za pimbi 🤣
Kwani ni wote mkuu?Ko kila siku watu wanavyosema single maza ni maboya,wabinafsi,na wabaguzi wewe huwa husikii siyo??☺️
wuwiiiiiiiiiiiii😂😂Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
Ndo nazidi kuamini kuwa single mother sio viumbe wa kawaida mkuu🚮🚮Ko kila siku watu wanavyosema single maza ni maboya,wabinafsi,na wabaguzi wewe huwa husikii siyo??☺️
Sidhani Kama Ni woteNdo nazidi kuamini kuwa single mother sio viumbe wa kawaida mkuu🚮🚮
Exactly sio wote ila wengi ni walewale tu😂😂Sidhani Kama Ni wote
Ofcourse_ni wote ndiyo.Kwani ni wote mkuu?
Soma post nō .8Naona umeficha, weka wazi kwamba ni singo maza
yeah tuwe makini na hao singo maza sjui umeelewa ilo neno SINGLE MOTHER.Ndo nazidi kuamini kuwa single mother sio viumbe wa kawaida mkuu🚮🚮
Baba ushaelewa vizuri unataka kunichosha tyuuu!! 🤣hiyo ndio nini kwa huyo majeruhi?
Duh 🙄Mostly ni walewale tu ndo maana kasema ni wotee ila wapo wenye tabia nzuri ila wachache sanaaaaaa yaani ni kama hawapo hiviii😂😂😂😂🏃🏿
Nimeelewa mkuu SINGLE MOTHER sioo kabisaa😂😂yeah tuwe makini na hao singo maza sjui umeelewa ilo neno SINGLE MOTHER.
🤣🤣Nimeelewa mkuu SINGLE MOTHER sioo kabisaa😂😂