Leo nimemuacha mpenzi wangu rasmi

Niamini mimi hamuwezi kuachana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hongera kwa kujinasua kwa singo maza akitoka simba hao viumbe wa pili kuwa hatar
 
Umechukua uamuzi sahihi mkuu huyo alikuwa anakuona ww mbuzi tu haiwezekani asikutengee minyamanyama wakati anaona kabisa huna rasta
 
Bahati yako, hapo amekufanyia wewe mtoaji pesa!

Ndo unaoa sasa, hafu hafu ndugu zako, ama Mama yako Mzazi katoka Kijijini kuja kuwasalimia Mjini.......!
 
Kumbe kuna majitu majinga bado kwahyo ulimpenda sana mtu usieweza kuzaa nae ulimpenda sana mtu alieamua kuzaa na kidume akaja kwako mdebwedo umlelee mtoto wake mkuu ww ni pimbi singo maza sio binadamu wa kawaida
 
Kuna binadamu na wamasai

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]


Rafiki usinifikirie vibaya Rafiki

Morani rafiki
 
Kama ana tabia hizo hata mkae Vikao vikisimamiwa na UN hawezi kubadilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…