Leo nimeonana na mchepuko wangu wa ujana Chato

Leo nimeonana na mchepuko wangu wa ujana Chato

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.

Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.

Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.

Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
 
Kuna jamaa nilisoma nae anaitwa nyaboma alikuwa ana sura ngumu hivi mwanaume kwelii sura ya kazii mweusii tii afu anavituko balaa muda wote anamatani ukimuona tu unaanza kucheka mwenyew
Huwenda ndio mimi mkuu wangu
 
Back
Top Bottom