Leo nimeonana na mchepuko wangu wa ujana Chato

Leo nimeonana na mchepuko wangu wa ujana Chato

Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.

Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.

Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.

Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Imenikumbusha goma la nyboma Doublé Doublé
 
Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.

Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.

Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.

Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Ulikwenda Chattle kikazi na kuhiji pia!!
 
Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.

Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.

Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.

Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Ungetupa storry nn kilitokea na imekuaje Hadi ukasalimika
 
Back
Top Bottom