Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu basii ni jina tu acha nikumbuke ya nyuma kupitia jina lakoSikuwahi soma mwanza nimesoma Tabora boss
Huyu katoka kapa...anapendaga sifa angesema.Afu mlipoonana?
Sisi huku unatuachaje kiboya hebu hata tudanganye kwamba ulikumbushia.
HV yule demu ulikuja mkubalia 3 someHabari za masiku ndugu yangu
Imenikumbusha goma la nyboma Doublé DoubléNikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.
Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.
Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.
Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Ulikwenda Chattle kikazi na kuhiji pia!!Nikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.
Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.
Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.
Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Hahahaha wap wkt ulikimbilia huku kuomba ushauri wa 3 someNdio unataka picha!? Sema jukwaa la wakubwa limefungwa [emoji4]
Ungetupa storry nn kilitokea na imekuaje Hadi ukasalimikaNikikumbuka nilivyowindwa na yule mstaafu na jinsi Baba yangu mkubwa alivyoingilia kati kunisuru na leo nipo hapa nimesalimia nae.
Hakika kama siku ya kifo haijafika haijafika tu.
Mwisho kabisa mke wa mtu ni SUMU ingekuwa ndio zama za sasa ningekuwa nimefukiwa ardhini.
Nasisitiza tuwe makini na wake za watu, anaweza kukupenda mwenyewe kumbe ndio anakuandilia njia ya kwenda kumbusu miguu shetani kuzimu.
Na kweli mkuu, asante kwa kunishtua.Huyu katoka kapa...anapendaga sifa angesema.
Huoni siku ile anaenda kumla shemeji yake dodoma alitutangazia?
great.. but what went wrong?Nimeiacha nyama kama ilivyo mkuu