Hata haikua kupasha kiporo.
Tumekutana mtaa tuliokulia. Tukapiga stori kadhaa kesho akanifuata akaniambia mumewe (wanaishi mkoa mwingine) anadaiwa na anataka kupelekwa polisi nimsaidie ili aondokane na aibu.
Kwakua yeye na mumewe ni waajiriwa nikaona siyo tatizo nikamkopesha. Aisee ni mpaka leo