Leo nimeonana na mchepuko wangu wa ujana Chato

Je kabla ya kumkopesha ulimtaarifu Mumewe,au ulitoa pesa kwa siri!?

Kama ulitoa bila kumtaarifu Mumewe hiyo hesabu imekula kwako!!
 
Ndugu ilikuwa nife, haww wake wa wakubwa ni wa kuogopwa?

Ilinibidi nipotee jijini dar es salaam kwa miaka kadhaa bila baba mkubwa wangu ilikuwa niende na maji.
Asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…