Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

inawezekana waliokupeleka huko kuna kitu wanakitafuta kwako ili wakati ukifika wakuinue.

Fanya kazi kwa bidii, onyesha kwanini umesoma na kufanya kile kinachotakiwa na waliokupeleka huko na ikibidi ufanye ziada.

Tumia muda wako vizuri, fanya ibada, jiongezee maarifa na kiu ya kuinuka hapo ulipo, InshaAllah Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi.

Nina mengi yakukueleza, lakini naomba niishie hapo..
 
inawezekana waliokupeleka huko kuna kitu wanakitafuta kwako ili wakati ukifika wakuinue.

Fanya kazi kwa bidii, onyesha kwanini umesoma na kufanya kile kinachotakiwa na waliokupeleka huko na ikibidi ufanye ziada.

Tumia muda wako vizuri, fanya ibada, jiongezee maarifa na kiu ya kuinuka hapo ulipo, InshaAllah Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi.

Nina mengi yakukueleza, lakini naomba niishie hapo..
Nimeupokea ushauri wako
 
UNALIPA BAADA YA KUPATA HUDUMA (T!Gó)

1. 5GB+5MB KWA SH.7500

2. 6GB+500MB KWA SH. 8500

3. 8GB KWA SH.10000

4. T!Gó PósTPA!D (GB15, GB35, gb48,GB72)

UNAHITAJI KIFURUSH KIPI HAPO?

Nicheki 0717700921
Voda huna?
 
Mishahara itakutana kama huna familia, kuna unayo familia bill za Mangi zinakufuata hukohuko kijijini.

Ni hatari sana kwa mtu mwenyewe familia Dar halafu kazi kijijini, Kipato inabidi ukigawe Mara mbili, hii inawalipa wenye mishahara mikubwa.
na wenye wake wanaofanya kazi, kukaa mbali na mke wakati hafanyi kaxi ni ujinga
 
Fanya nawe ufugaji. Ufugaji hasara yake ni ukame wa nyasi. Fanya kununua ndama wakuze uza kwa wauza nyama.
Fuga mbuzi , tafuta mbegu bora ya mapacha. Kama ni singida fuga na kuku huwa wanastawi saba.
Usianze kuwaza habari za Dar umeisha waaaga mtaonana mungu akipenda ila ukiwekeza kule ni soko na connection unayo.
Usipoteze mda kupa DIS bush.
Kama ni fertile land usisahau kununua ardhi. Kama kuna pandwa miti ya mbao au matunda panda walau miti 200 ya matunda.
Watu wengi waliotoka mjini kuja bush huwa hawataki kuikubalisha akili, Ukifanya mapema utafanikiwa mapema ukichelewa ni hivyo hivyo.
Mdau mmoja kasema angalia waliotajirika wametajirika kwenye nini .
Mi ni mmojawapo wa watu waliokulia mjini na kuhamia kijijini, kila kitu kinazoeleka hasa kama msomi. Wanakijiji wanawapenda wageni.
 
Fanya nawe ufugaji. Ufugaji hasara yake ni ukame wa nyasi. Fanya kununua ndama wakuze uza kwa wauza nyama.
Fuga mbuzi , tafuta mbegu bora ya mapacha. Kama ni singida fuga na kuku huwa wanastawi saba.
Usianze kuwaza habari za Dar umeisha waaaga mtaonana mungu akipenda ila ukiwekeza kule ni soko na connection unayo.
Usipoteze mda kupa DIS bush.
Kama ni fertile land usisahau kununua ardhi. Kama kuna pandwa miti ya mbao au matunda panda walau miti 200 ya matunda.
Watu wengi waliotoka mjini kuja bush huwa hawataki kuikubalisha akili, Ukifanya mapema utafanikiwa mapema ukichelewa ni hivyo hivyo.
Mdau mmoja kasema angalia waliotajirika wametajirika kwenye nini .
Mi ni mmojawapo wa watu waliokulia mjini na kuhamia kijijini, kila kitu kinazoeleka hasa kama msomi. Wanakijiji wanawapenda wageni.
ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom