KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Achana kabisa na Ashura. Huko wapo wengine wengi tu tena hawahitaji pesa nyingi kama huyo Ashura. Kumbuka ulipohamia huko bush(?) naye kahamia kwa jamaa mwingine, hawezi kukusubiri.kipenzi changu ashura wa makumbusho sijui hata tutaonana nae lini!
KilimbatzAiseee itakua singida
Sasa afisa ugani unataka upangiwe mjini Daslama kwani hapa tunalima nini? Nenda huko huko kijijini utatoboa...jenga urafiki na wakubwa wa kijiji ili iwe rahisi kupatiwa ardhi ya kulimaagronomist
Vipi mkuu
Sio singida huko au Dodoma?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]Hakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
MnooooooHivi kumbe Tanzania ni kubwa namna hii! doh
nimeupokea ushauri wakoSasa afisa ugani unataka upangiwe mjini Daslama kwani hapa tunalima nini? Nenda huko huko kijijini utatoboa...jenga urafiki na wakubwa wa kijiji ili iwe rahisi kupatiwa ardhi ya kulima
hahaaaKuwa kama yesu....tumia elimu yako kuwakomboa hao maskini,lasivyo watakuloga tu..
yawezekana mkuuSio singida huko au Dodoma?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]
Mhm karatu pa hovyo sana mkuu napajua vizuriKaratu hapako hivyo hapo maybe singida au manyara ndani ndani kwa wamang'ati
Hahahahaha daah mm kuishi sehemu hakuna mambo ya bata kumepowa ah siwezHakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
tatizo ajiraHahahahaha daah mm kuishi sehemu hakuna mambo ya bata kumepowa ah siwez
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Singida or Dom iyoooHakika dar es salaam ni Mji ulionipa marafiki wengi, network kubwa na hata pesa ya kuishi japo kuna siku mji huu ulinilaza njaa.
Asubuhi ya leo wakati natoka mbezi kuja huku mkoani chozi limeni tililika sana(fear of new changes)
Doh! nimefika mkoani , nikaenda kuripoti kituo changu cha kazi nilichopangiwa na shirika moja binafsi hapa nchini! ni aibu sana kwakweli!.
Wafanyakazi wenye certificate,diploma wanavimba ofisini na kipupwe mimi wamenipeleka kijijini wastani wa kilomita 120 kutoka mjini,hakuna makazi bora,maji ya tabu,usafiri wa shida na network inashika haloteli tu.
Nimeikuta jamii ni walevi mno, sura zao zimekosa nuru, najiona kabisa napotea kwenye ulevi wa kupindukia huku kijijini, wanatumia punda kwenda kuchota maji ya kunywa kweli!
mshahara mzur tu600k
sio mbaya mkuu , mm namalizia kujipanga maisha binafs niingie serikalin mkoani , nikapumzike nile maisha , mjin joto kali [emoji4]na makato mkuu+pakulala juu yako
[emoji23][emoji23][emoji23]Kibaya zaidi utarogwa mpaka utazoea,Mchana unaona wanabeba maji na punda lakini usiku wewe ni zamu yako kuwa punda utalima sana mashamba ya watu usiku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nipe namba ya shemela Ashura nikusaidie kumtunza hadi utakapo rejea mjini Daslam