Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

Maisha Popote Ila Sio Kwa Ubaya Mungu Naomba Unibakishe Maisha Yangu Yote Na Familia Yangu Ibaki Dar Es Salaam Bandari Salama,AMEEN
 
Ukitaka kuishi unapopataka wewe achana na habari za kuajiriwa.
 
Unajifanya mzalendo we ukipelekwa kakonko utaandika barua uache kazi
 
Pole sana nichangamoto tuu za maisha. Kaa kwa muda hata miezi mitatu uombe uhamisho
 
Nipe mchongo kaKa,Mungu akutangulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…