Leo nimepanda daladala!! Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki?

Leo nimepanda daladala!! Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii

Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala

Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢
Halafu mnaimba kuwa anaupiga mwingi kweli kizimkazi anawanyoosha

Watanganyika mtajuta kumjua huyo bibi wallah nawaambia atawanyoosha kama una usafiri wako mshukuru sana Mungu aisee

Sio kwa nauli hizi za daladala!! Kizimkazi wala hajali lolote.

Kufa hamtokufa ila cha moto mtakiona!! Hii ndo hasara ya kuwa na watawala wenye roho ya kiswahili, wivu na husda dhidi ya raia wake wenyewe kwamba wakiweka mambo sawa wananchi watafaidi sana kwa mtazamo wao!! Hovyo kabisa!!
 
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii

Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala

Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢
Halaf mnaimba kuwa anaupiga mwingi kweli kizimkazi anawanyoosja

Watanganyika mtajuta kumjua huyo bibi wallah nawaambia atawanyoosha kama una usafiri wako mshukuru sana Mungu aisee

Sio kwa nauli hizi za daladala!!Kizimkazi wala hajali lolote
Hebu twende sawa, wewe kwenye hilo gari lako kwa siku unatumia mafuta ya shilling ngapi n daladala bei gani?
 
Kwa hiyo mama anahusikaje na nauli kupanda?

Tatizo lile lizee sijui liliwaloga! Maana vyuma vilikaza lakini kwa umbumbumbu wenu mnajidai kusahau!

Acheni upumbavu!

Nchi inaenda vyema kama wakati wa Born Town.
 
Hebu twende sawa, wewe kwenye hilo gari lako kwa siku unatumia mafuta ya shilling ngapi n daladala bei gani?
Chai hiyo mzee mwenye gari anapata maumivu haraka sana maana mafuta wanapandisha kila mara wakati nauli haipandi kulingana na kupanda kwa mafuta kama sasa hivi mafuta yamepanda wiki kadhaa nyuma ila bei hazijapanda..
 
Haya ndiyo madhara ya kuwa na raisi wa taifa la kigeni(Zanzibar)kuongoza Nchi ambayo siyo yake (Tanganyika).
 
Mbona hamjasema nauli zimepanda kwa route zipi na mwanzoni ilikuwa kiasi gani na sasahivi ni kiasi gani,sisi wabeba boksi tunataka kujua ili kama tuna mpango wa kurudi home turudi ama tuahirishe.
 
Sema mwamba umetupiga kiaina

Yani usipige kelele kupanda gharama ya mafuta uje uonee huruma watu wa daladala mbona haiji.


Nauli zimepanda ndio mafuta yakapanda au mafuta yamepanda ndio yakapelekea nauli kupanda !kwako mwalim kashasha
 
Back
Top Bottom