Leo nimepanda daladala!! Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki?

Hata kama haupandi dala dala ina maana hauna sehemu yeyote utapata taarifa kuwa nauli imepanda au mafuta yamepanda hii sio kweli bhana tupunguzieni chai...
Wala sio chai, mimi mwenyewe hapa nina miezi kama 6 sijapanda daladala, kiukweli hata hizo bei zilizopanda sizijui, nimefungua uzi ili nijue zimepandaje, haha
 
hivi kidukulilo aliendaga wapi
maana story zake zilikuwa za hovyo kama hizi
 
Mangi asee kulikoni? Mwanzoni mwanzoni maza alivyokuwa rais ulimsifiaga sana.
 
Si na mafuta yamepanda bei? Au maumivu ya bei ya mafuta nyie wenye magari ni madogo kuliko sie wa kulipa nauli?
 
Kinachoniuma ni konda kunitukana baada kumpa 500 badala ya 800' na kuniambia nina dharau kazi za watu na kunishushia matusi utafikiri nilikataa kumlipa duuh!! Ila nikawa najiuliza hivi ningekuwa na hiyohiyo 500 si angenishushia njiani? Na hizi tabia zao za kudai nauli mmeshafika mbaliiiii.
Aisee nauli zimepanda mno.
 
Unazua taharuki kwa wananchi....unaichonganisha taasisi ya uraisi na rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania dhidi ya wananchi wake.

Btw, unavaa small, medium au large tukuandalie kabisa nguo za rangi ya karoti
 
Watu tegemezi wapo ila ndo hatuwaulizi kama nauli bei gani, utamuuliza kila mtu sasa..?
Kwa hiyo ukiombwa nauli kwa wanaokutegemea utawapa ya Mbeya bila kuwauliza acheni kuishi maisha ya movie hayo watu wapo China,USA au SA wanajua nauli zimepanda wewe upo vingunguti kwa Tumbo unajifanya hujui kitu...
 
Kwa hiyo ukiombwa nauli kwa wanaokutegemea utawapa ya Mbeya bila kuwauliza acheni kuishi maisha ya movie hayo watu wapo China,USA au SA wanajua nauli zimepanda wewe upo vingunguti kwa Tumbo unajifanya hujui kitu...
Wabongo mnavyopenda league sasa, haha
 
ndo ivyo tunavoishi wanyonge na tunaona freshi tu kama amn kilichotokea tukiwa tunaangalia wakenya wakiandamana kwa Millard ayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…