Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Labda alikuwa anaenda lojimaa
Mkuu umenichekesha sana. Hii ndiyo Darisalama yetu GPS ni akili mukichwa. Pole sana MkuuMkuu nilishituka mapema sana kwamba nimeshaingia cha kike, tatizo ni pale nilipoanza kutafuta ufumbuzi wa tatizo ndipo nilipopotea zaidi!!
Hahaha sasa hivi upo tarime au?Ahahaaaaaa, mkuu nilikuja mara moja tu ila nimeshaondoka bana!
Sasa huku mjini kwetu ulikuja lini? Ila karibu sanaNipo Mbugani Serengeti naitafuta Bunda mkuu!
Hahahaha itarudi soon tu.Mkuu nilikuja ijumaa, ila ntarudi siku wanaume wa Dar tukianza kuheshimiwa!
Ubahili mwingine bana 😀Sikuwahi kudhani kama naweza potea kizembezembe hivi kama leo.
Nilitokea mitaa ya Tazara na shida ilikua nifike Sokoni Buguruni ili kununua mazagazaga ya nyumbani, kwasababu ya foleni nikaamua kupiga teke tu.
Nilipofika pale kwa wauza mbao nikaamua kula 'chocho' upande wa kulia ili nitokee Sokoni.
Kiukweli nimejikuta nipo Malapa tena ni baada ya kuhangaika sana kuitafuta barabara ya Uhuru ili nisome ramani upya. Ilifikia wakati nikataka kuchukua pikpiki but nikasita maana pengine nipo sokoni tayari but ni kutafuta tu kaupenyo. Kwenye picha nimeweka mitaa ambayo nimeisaganya leo kwa masaa mawili!