Leo nimepotea Buguruni mjini "Dalisalama"

Si mbaya umefanya utalii wa ndani na umejifunza njia mbadala...siku nyingine unaweza kupita njia hiyo ukiwa na gari kukwepa foleni.
 
Si mbaya umefanya utalii wa ndani na umejifunza njia mbadala...siku nyingine unaweza kupita njia hiyo ukiwa na gari kukwepa foleni.
Unaweza tokea kwenye ghetto la mtu na ukajikuta unakosa ata sehemu ya kugeuzia gari.......!
 
hahaha ukibuni unatokelezea tu ilabora ungesema kulikuwa na mchepuko mana hili jukwaasio la kupotea
 
Mkuu nilishituka mapema sana kwamba nimeshaingia cha kike, tatizo ni pale nilipoanza kutafuta ufumbuzi wa tatizo ndipo nilipopotea zaidi!!
Mkuu umenichekesha sana. Hii ndiyo Darisalama yetu GPS ni akili mukichwa. Pole sana Mkuu
 
Ungeuliza tu maana kuuliza sio ujinga na watanzania ni wakarimu sana wangekupeleka hadi sokoni
 
Au ulikuwa unatKA upate mambo yetu kwenye chocholo ndefu za wahaya ndio maana hukukata tamaa. Pole hiyo ndiyo dar salama
 
Au ulikuwa unatKA upate mambo yetu kwenye chocholo ndefu za wahaya ndio maana hukukata tamaa. Pole hiyo ndiyo dar salama
Hapana mkuu nilitaka kwenda kununua nyanya na vitunguu tu bana.
 
Ubahili mwingine bana 😀
Siku nyingine tumia GOOGLE MAP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…