HahahaWalimwekea cancer
Mmoroco yeye anadai sio mwarabu bali mzungu ila wanaonekana ni mwarabu sababu ni waislamu.Wengi wenu hamjui waarabu ni watu gani. Mtu akiwa muislamu tu mbamuita Mwarabu. Wasiria sio waarabu. Waarabu ni Saudi Arabia UAE na Qatar. Misri, Moroko, Libya, Algeria nk bi mchanganyiko wa Mwarabu na Mwafrika.
Wapemba je?? Ukitaka mpemba akupende muite muarabu.Wadigo wenyewe wanajiita waarabu kisa waislam.
Acha uongo wasyria ni waarabu.Wengi wenu hamjui waarabu ni watu gani. Mtu akiwa muislamu tu mbamuita Mwarabu. Wasiria sio waarabu. Waarabu ni Saudi Arabia UAE na Qatar. Misri, Moroko, Libya, Algeria nk bi mchanganyiko wa Mwarabu na Mwafrika.
Leta ushahidi wa wao kutakuwa waarabu.Siria, Lebanon Jordan, Israel sio Waarabu. Hata wanaojiita Wapalestina sio waarabu ndio maana waarabu huwa hawawasaidii.
Halafu muhispania ukimuita mmoroco anaweza kukuuwa 🙃Mmoroco yeye anadai sio mwarabu bali mzungu ila wanaonekana ni mwarabu sababu ni waislamu.
Tangu lini?Acha uongo wasyria ni waarabu.
America ni nzuri sana kwa kila jamiiAcha uongo wasyria ni waarabu.
Ni kweliAmerica ni nzuri sana kwa kila jamii
Ni kweli baba yake alimkataa akaishi maisha ya tabu. Ila alikuwa anapenda sana tamaduni za kihindi aliwahi funga safari kwenda India huko kujifunza mambo ya kihindu. Naona matajiri wengi wa marekani wanapenda kujifunza mambo ya ahawa wahindi hata mwaka jana niliona mack wa meta alikuwa huko.
Dunani huwezi kujua kila kitu, leo nimeshangaa kugundua kwamba mwanzilishi wa Kampuni ya Apple yaani Steve Jobs alikuwa Mwarabu wa Syria na baba yake alikuwa anaitwa Abdul Fattah Jandali ila alilelewa na wazazi ambao sio wake ambaye ni Paul jobs na mkewe.
Ila cha ajabu alikuwa akipenda sana kwenda kula restaurant ya Fattah bila ya kujua ndio biological father wake, hadi anakufa aliweza kuungana na mama yake mzazi na dada yake ila baba yake hakutaka kujishusha aliona akimfuata ataonekana kama kafuata hela.
Na ww tuambie ni tangu lini wasiliya wakawa sio waarabu.Tangu lini?