Leo nimeshangaa kujua kuwa mwanzilishi wa Apple ni Mwarabu

Leo nimeshangaa kujua kuwa mwanzilishi wa Apple ni Mwarabu

incharge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
5,017
Reaction score
8,442
1728320061069.png

Dunani huwezi kujua kila kitu, leo nimeshangaa kugundua kwamba mwanzilishi wa Kampuni ya Apple yaani Steve Jobs alikuwa Mwarabu wa Syria na baba yake alikuwa anaitwa Abdul Fattah Jandali ila alilelewa na wazazi ambao sio wake ambaye ni Paul jobs na mkewe.

Ila cha ajabu alikuwa akipenda sana kwenda kula restaurant ya Fattah bila ya kujua ndio biological father wake, hadi anakufa aliweza kuungana na mama yake mzazi na dada yake ila baba yake hakutaka kujishusha aliona akimfuata ataonekana kama kafuata hela.
 
Sio kwamba baba yake alikataa kujishusha bali Steve hakuwa na mpango nae. Baba yake alimtelekeza akaja lelewa na kutunzwa na wazungu Bwana na Bibi Jobs.

Wenzetu kule hawana upuuzi wa sijui mzazi hakosei, nitakulaani, akikua atanitafuta. Ukiingia mitini usirudi.
 

Dunani huwezi kujua kila kitu, leo nimeshangaa kugundua kwamba mwanzilishi wa Kampuni ya Apple yaani Steve Jobs alikuwa Mwarabu wa Syria na baba yake alikuwa anaitwa Abdul Fattah Jandali ila alilelewa na wazazi ambao sio wake ambaye ni Paul jobs na mkewe.

Ila cha ajabu alikuwa akipenda sana kwenda kula restaurant ya Fattah bila ya kujua ndio biological father wake, hadi anakufa aliweza kuungana na mama yake mzazi na dada yake ila baba yake hakutaka kujishusha aliona akimfuata ataonekana kama kafuata hela.
Ni kweli baba yake alimkataa akaishi maisha ya tabu. Ila alikuwa anapenda sana tamaduni za kihindi aliwahi funga safari kwenda India huko kujifunza mambo ya kihindu. Naona matajiri wengi wa marekani wanapenda kujifunza mambo ya ahawa wahindi hata mwaka jana niliona mack wa meta alikuwa huko.
Sasa ajabu na yeye akampiga mdada mimba ambaye alikumkubali wakati akiwa apeche alolo na akamkataa mtoto wake. Yani steve alimkataa mtoto wake hadi anakufa hata baada ya kupelekwa mahakamani bado na utajiri aliokuwa nao hakuwa tayari kumsaidia.
Mtoto amekuja kupiga pesa baada ya kuandika kitabu kuhusu story ya mama, yeye na baba yake steve kikauza sana.
 
Back
Top Bottom