Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.
Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.
Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.
Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.
Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.
Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.