Leo nimeshuhudia ajali ya bodaboda mpaka nimetetemeka

Leo nimeshuhudia ajali ya bodaboda mpaka nimetetemeka

Nikipata gari lazima nitawaua bodaboda wawili watatu na wengine kuwapeleka mitaroni


Hawa jamaa ukitoka na baskeli yako upige misele ya hapa na pale wao ndio watakuua barabarani na sio magari.
 
Hii sio ajali mbaya.
Mimi nilishuhudia wamegongwa wamerushwa mtaroni, damu zinaruka juu kama bomba limepasuka, wanalia sana lkn wanaume wa dar wamezunguka wanapiga picha bila msaada,

Nilichukia mnoo na niliwatukana wote, niksmnyanyang'anya mama mmoja kanga nikashuka mtaroni kuwafunga damu na kuwatoa mtaroni.

Hiki kisa sitasahau

hivi hizi picha na video huwa zinatumika status pia [emoji2][emoji2].

maana ukikuta watu wako busy kurekodi damu za watu mpaka unashangaa.
 
Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.

Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.

Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.

Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Hapo wakulaumiwa mwenye gari, angemvaa angetupunguzia wavunja sheria za barabarani ambao husababisha vifo kwa abiria wao.
 
Wazima mkuu ila kesho na jnne kutakuwa na storm ya hatarii. Mvua, upepo na radi. Navyopenda storm hasa ikinikuta ndani wee acha tu nimetulia zangu kwenye studio apartment 45msqure na demu wangu.

Forecasters watahadharisha.
Tatizo mademu wa ki denish wabaguzi sana asee
 
Wazima mkuu ila kesho na jnne kutakuwa na storm ya hatarii. Mvua, upepo na radi. Navyopenda storm hasa ikinikuta ndani wee acha tu nimetulia zangu kwenye studio apartment 45msqure na demu wangu.

Forecasters watahadharisha.
Mademu wa kidenish wabaguzi sana lkn likikupenda yanajua kuganda hatari
 
Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.

Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.

Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.

Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Hili la bodaboda kupita taa zinapokuwa nyekundu ni jambo la ajabu kabisa. Polisi wao wako kimya na imeshakuwa kama ni sheria ya barabarani. Kweli vongozi wetu wamechoka kimawazo na wamebaki kutumbua raslimali zetu.
 
Yaaan naogopaga pikipiki barabara ya morogoro road kuanzia korogwe kuelekea kibaha, sam nujoma road, kamata road na hii ya riverside. Hiyo ya mbagala yaan utaniua. Niliona siku moja semi trela limemsukuma na upepo mbaba alikua anaendesha pikipiki yake tena hana fujo na si bodaboda wala. Alitupwa kuleeee. Hapo kabla ya vingunguti. Niliumia kama namjua. Bora aliangukia katikati pale kuna majani.
 
Back
Top Bottom