Leo nimeshuhudia ajali ya bodaboda mpaka nimetetemeka

Leo nimeshuhudia ajali ya bodaboda mpaka nimetetemeka

Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.

Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.

Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.

Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Tanzania ninchi pekee duniani ambayo mtu anaweza kujifunza pikipiki asubuhi mchana akapata leseni jioni akaanza kukeba abiria tena usalama barabalani wakiwa wanamfahamu fika
 
Siku nikiwa na garienye ngao kubwa bodaboda nitawachinja sana.

Nikiona hajabeba abiria na akivunja Sheria na Mimi ndio nimuokoe lazima nikanyage mafuta niende nae. Hawa jamaa wapuuzi sana.
 
Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.

Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.

Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.

Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.

Hao ni Vishandu.
 
Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.

Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.

Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.

Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Mungu ni Mwema kwa kuepusha kifo.
Bodaboda ni kama wanatembea na viwiliwili huku roho zao wamezifungia makabatini huko majumbani kwao
 
Hapana mkuu, Sweden nimekaa siku 5 lkn Norway hapana
Norway nimekaa sana napo ni poa sana. Mara kwa mara naendaga.

Ila Sweden siku hizi siyo poa hasa kazi za kubeba boksi. Kwa skilled workers ndo poua. Sweden hii kazi ya kudrive truck inalipa sana naona wabeva boksi wengine wanatudi hadi Tanzania kujifunA kuendesha malory halafu wanarudi huku kupata leseni. Mshahara 60 k per month swedish krona
 
Norway nimekaa sana napo ni poa sana. Mara kwa mara naendaga.

Ila Sweden siku hizi siyo poa hasa kazi za kubeba boksi. Kwa skilled workers ndo poua. Sweden hii kazi ya kudrive truck inalipa sana naona wabeva boksi wengine wanatudi hadi Tanzania kujifunA kuendesha malory halafu wanarudi huku kupata leseni. Mshahara 60 k per month swedish krona
Sijawahi kuwapenda wa Nord...
Ni watu flani wana vimajivuno kama Waitaliano.

Wadanish nilikuwa kama nimewaloga, walinikubali sana hadi nilipoamua kuachana nao na kufanya yangu....haikuwa rahisi kuwaacha, kila nikiomba kuacha niliongezewa mshahara kwa miaka miwili mizima hawataki niache.

Sema shida ndogo nao ni wabahili sana.

Waswedish sio wabahili kivile lakini
 
Huyo mwenye gari mpumbav anahangaika kukwepa nini... Bodaboda vilaza sana wakijitoa akili na wewe unajitoa fahamu...
 
Natamani sanaa watu wajue elimu ya kujihami hasa madereva...ila sjui naanzia wapi
 
Hii sio ajali mbaya.
Mimi nilishuhudia wamegongwa wamerushwa mtaroni, damu zinaruka juu kama bomba limepasuka, wanalia sana lkn wanaume wa dar wamezunguka wanapiga picha bila msaada,

Nilichukia mnoo na niliwatukana wote, niksmnyanyang'anya mama mmoja kanga nikashuka mtaroni kuwafunga damu na kuwatoa mtaroni.

Hiki kisa sitasahau
Mungu akuzidishie pale ulipofanya kwa kweli..
Dunia yetu ya sasa mtu akipata ajali badala ya kupewa msaada wananchi wanaanza kuchukua kwanza video/kupiga picha [emoji848][emoji848]
 
Mungu akuzidishie pale ulipofanya kwa kweli..
Dunia yetu ya sasa mtu akipata ajali badala ya kupewa msaada wananchi wanaanza kuchukua kwanza video/kupiga picha [emoji848][emoji848]
Hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom