MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Bajaji ni bodaboda aliyepoa.Hawa jamaa huwa hawafuati sheria za barabarani. Taa nyekundu haziruhusu kupita yeye anapita.
Bajaji siku hizi wanatabia hiyo
Mkuu DK wazima? Nimepa missYani wanaume tumebaki wachache sana. Yani kushuhudia tu ajali ya bodaboda unatetemeka?
Hii sio ajali mbaya.
Mimi nilishuhudia wamegongwa wamerushwa mtaroni, damu zinaruka juu kama bomba limepasuka, wanalia sana lkn wanaume wa dar wamezunguka wanapiga picha bila msaada,
Nilichukia mnoo na niliwatukana wote, niksmnyanyang'anya mama mmoja kanga nikashuka mtaroni kuwafunga damu na kuwatoa mtaroni.
Hiki kisa sitasahau
Wajinga sanahivi hizi picha na video huwa zinatumika status pia [emoji2][emoji2].
maana ukikuta watu wako busy kurekodi damu za watu mpaka unashangaa.
Hapo wakulaumiwa mwenye gari, angemvaa angetupunguzia wavunja sheria za barabarani ambao husababisha vifo kwa abiria wao.Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.
Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.
Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.
Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Wazima mkuu ila kesho na jnne kutakuwa na storm ya hatarii. Mvua, upepo na radi. Navyopenda storm hasa ikinikuta ndani wee acha tu nimetulia zangu kwenye studio apartment 45msqure na demu wangu.Mkuu DK wazima? Nimepa miss
Tatizo mademu wa ki denish wabaguzi sana aseeWazima mkuu ila kesho na jnne kutakuwa na storm ya hatarii. Mvua, upepo na radi. Navyopenda storm hasa ikinikuta ndani wee acha tu nimetulia zangu kwenye studio apartment 45msqure na demu wangu.
Forecasters watahadharisha.
Mademu wa kidenish wabaguzi sana lkn likikupenda yanajua kuganda hatariWazima mkuu ila kesho na jnne kutakuwa na storm ya hatarii. Mvua, upepo na radi. Navyopenda storm hasa ikinikuta ndani wee acha tu nimetulia zangu kwenye studio apartment 45msqure na demu wangu.
Forecasters watahadharisha.
Mwalimu/kiongozi wa Boda boda ni Mpwayungu Village ,Ni kama mwalimu wao ni mmoja, alafu ukute wameshatupia vitu vyao kichwani.
Ni kweli AJARI haina Kinga ila kuna mambo ukiyafuata kwa kufuata sheriaAJALI HAINA KINGA SAWA ILA KUNA ZAINGINE WATU WANAJITAKIA WENYEWE
Hili la bodaboda kupita taa zinapokuwa nyekundu ni jambo la ajabu kabisa. Polisi wao wako kimya na imeshakuwa kama ni sheria ya barabarani. Kweli vongozi wetu wamechoka kimawazo na wamebaki kutumbua raslimali zetu.Aiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.
Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.
Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.
Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.
Huyu ninaye ndo kwanza 23 neneeee ssbbwMademu wa kidenish wabaguzi sana lkn likikupenda yanajua kuganda hatari
Linenee ni rahisi kuopoa, but English figure thubutu yako ngozi nyeusiHuyu ninaye ndo kwanza 23 neneeee ssbbw