PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Serikali wangepiga marufuku bodaboda zisiingie katikati mwa mji hii itasaidia sanaKuna matukio hua wanafanya barabarani hadi unijuliza kwa nini serikali isipige marufuku usafiri wa bodaboda, lakini unakumbuka kwamba ujambazi utaongezeka una baki kusonya tuu, ndio maana Lema alisema bodaboda sio kazi ni laana
Una moyo wa kiungwana sanaHii sio ajali mbaya.
Mimi nilishuhudia wamegongwa wamerushwa mtaroni, damu zinaruka juu kama bomba limepasuka, wanalia sana lkn wanaume wa dar wamezunguka wanapiga picha bila msaada,
Nilichukia mnoo na niliwatukana wote, niksmnyanyang'anya mama mmoja kanga nikashuka mtaroni kuwafunga damu na kuwatoa mtaroni.
Hiki kisa sitasahau
Nasikitika hao ndugu kesho yake walipoteza maisha.Una moyo wa kiungwana sana
Mungu azidi kukubariki daima ndugu yangu
[emoji24][emoji24][emoji24]Nasikitika hao ndugu kesho yake walipoteza maisha.
Kilikuwa kitu kigumu sana ndg
Amen[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu uliplay part yako,...hayo mengine ni majaliwa ya Mungu mwenyewe, ila wema wako hautafutika kamwe.
Ni kuomba Mungu tuu mkuu Hata bolt nao kuna Ambao Wanaendesha bila uangaliziBora nitumie bolt madereva wenye leseni na kila kitu
Hawa jamaa hawajipendi.Ile ajali ya Kibo ,Ubungo alisababisha bodabodaAiseeh usafiri wa boda ni hatari, hawa ndugu zetu hawapo makini kabisa sheria za usalama barabarani hawazifuati kabisa.
Nimeshuhudia ajali ya hapa Chang’ombe Temeke, boda kapingwa na gari mlio umesikika mithiri ya bomu.
Huyu boda angekufa kwa uzembe wake yeye mwenyewe, taa za barabarani hazijamruhusu kupita yeye kaamua kupita kivyake kibaya zaidi mwenye gari alimuona alianza kupiga honi akiwa toka mbali.
Ashukuriwe Mungu yupo hai mwenye gari kajitahidi sana kumkwepa, ndugu zetu hembu kuweni makini mnahatarisha sana roho za watu.