Leo nimetambulishwa kwa mashemeji zangu, ghafla wakaanza kuimba "Mtoto kautaka", maana yake nini?

Hahahaaaaa... haya mambo hata mimi sielewi. Ni mageni kabisa
Mtoto kautaaaa mtoto kautaaa
 
Nasubiri sauti ya kuomba maji.....
 
Hivi hamuoni so kuandika vitu vya kitoto humu?
We kama unaona so mbona umekuja ku comment
Au ndio tabia zako za kutongozeshea watoto wako kwa wadada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…