Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
Nenda instagram kwan unafamyaje hapa labdaJamii forum sasa ishakuwa FB kutwa stori za kitoto za uongo
Ukifanya maujinga watakustua ni watu,hasa wale wakweli. Kumbuka hapa ni hadharani, huu ujinga ungefanyia kitandani hakuna mtu angesemaWe kama unaona so mbona umekuja ku comment
Au ndio tabia zako za kutongozeshea watoto wako kwa wadada?
Unakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje?
Nimekumbushwa mbali Nimeulizwa kama nakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje? Eti na wewe ulivyokuwaga bikra ulikuwaje? Je unamiss kurudi kuwa bikra au ukae hapo hapo?www.jamiiforums.com
weKama mama yako alifokorewa pole, usituletee afya ya akili hapa
Wendo mama yangu..sasa kuwa na Adabu we mwenye vitobo 6Kama mama yako alifokorewa pole, usituletee afya ya akili hapa
Unakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje?
Nimekumbushwa mbali Nimeulizwa kama nakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje? Eti na wewe ulivyokuwaga bikra ulikuwaje? Je unamiss kurudi kuwa bikra au ukae hapo hapo?www.jamiiforums.com
Wee nawe na hadithi zako za sungura na fisiBiharusi mtarajiwa: Money Penny njoo
Money penny: nimefika mama nini mbaya
Biharusi mtarajiwa: nimetambulishwa leo kwa mashemeji zangu wa kiume kwa mara ya kwanza
Money penny: enhe
Biharusi mtarajiwa: baada ya utambulisho wakaanza kupiga makofi, wakaanza kuimba
"Uyo mtotooooooo, uyo mtotoooooo"
Shemeji no 1: mtoto kautaaa
Mtoto kautaaa
Shemeji no 2: mtoto kautaka mtoto kautaka
Sasa sijaelewa huu wimbo una maana gani maana me sisiskilizagi bongo movie.
Wimbo una maana gani? Nimemwuliza mchumba wangu anacheka
Haya jamani, mtoto wa 2004 anauliza mtoto kautaaaa, manake nini?
Nimekumiss mno ujueAbee
Unakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje?
Nimekumbushwa mbali Nimeulizwa kama nakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje? Eti na wewe ulivyokuwaga bikra ulikuwaje? Je unamiss kurudi kuwa bikra au ukae hapo hapo?www.jamiiforums.com
πππππππππ!!!
Hiyo nyimbo ni maarufu sana...πππππππππ!!!
Anapelekewa π₯π₯ sioπ
Namie nautaka wako leooo keshoo lo nishakumis mpaka basi hapaaππππ₯°πππ!Hiyo nyimbo ni maarufu sana...
Nyimbo ya mtoto kautaka...
Ushaupata sweetheart, ni wako vile uupendavyo...Namie nautaka wako leooo keshoo lo nishakumis mpaka basi ππ₯°πππ!
SanteeeπΊπΊ!Ushaupata sweetheart, ni wako vile uupendavyo...
AiseeUkifanya maujinga watakustua ni watu,hasa wale wakweli. Kumbuka hapa ni hadharani, huu ujinga ungefanyia kitandani hakuna mtu angesema
Uwee
Ndio zimekuvutia ukaja ku commentWee nawe na hadithi zako za sungura na fisi
Njoo. NA hukuNimekumiss mno ujue
πππππππππ!!!
Anapelekewa π₯π₯ sioπ
Hiyo nyimbo ni maarufu sana...
Nyimbo ya mtoto kautaka...
Namie nautaka wako leooo keshoo lo nishakumis mpaka basi hapaaππππ₯°πππ!
Ushaupata sweetheart, ni wako vile uupendavyo...
SanteeeπΊπΊ!
MoneyNjoo. NA huku
Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?
Wahuniiiiiiiii? Nimewaita Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu...www.jamiiforums.com
AbeeeMoney
Money