Mi natimiz 15 yrs Mwezi ujao. Hongera sana mhenga mwenzanguNamshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
🤒Ndio uje PM sasa... Ebo!
Sana Mkuu , uwa nafatilia nyuzi zako uko makini sana.Hahahahaaha wewe jamaa una kumbukumbu sana sana pia niliwahi kupost updates za wale Jamaa walionasa kwenye machimbo ya madini, ile drilling kampeni ya kuwaokoa! Dah
Barikiwa sanaSana Mkuu , uwa nafatilia nyuzi zako uko makini sana.
Nimecheka sana!Wabongo bwana,na nyie fungueni nyuzi zenu kuelezea miaka yenu kah!
Swali : Je waliotangulia mbele za haki uliwezaje kuwatambua ukizingatia Kila mtu Ana Id yake ya Siri na wengine wanatumia I’d fake?Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Wote hao walikua wanatumia hizo hizo ID. @Rejia Mtema alikua mbunge wa Chadema viti maalum, Mohamedi Mtoi alikua kiongozi wa Chadema na mgombea Ubunge - Lushoto doto mnzanva alikua hapa JF. Kwahio walitumia ID hizo japo naona kama vile Sasa hivi zimekua disabledSwali : Je wametangulia mbele za haki uliwezaje kuwatambua ukizingatia Kila mtu Ana Id yake ya Siri na wengine wanatumia I’d fake?
Swali: uliwezaje kufikia Platinum Member hapa Jf? Ni kwa kuwepo Jf kwa miaka 15 au ?Wote hao walikua wanatumia hizo hizo ID. @Rejia Mtema alikua mbunge wa Chadema viti maalum, Mohamedi Mtoi alikua kiongozi wa Chadema na mgombea Ubunge - Lushoto doto mnzanva alikua hapa JF. Kwahio walitumia ID hizo japo naona kama vile Sasa hivi zimekua disabled
Hapana, Platinum membership inatakiwa uilipie! Miaka ile kulikua na Bronze 🥉 na Gold 🪙 ila waliondoa na kuweka hio Platinum ambapo unalipia ONCE kiasi cha shilingi za Kitanzania 100,000 tuSwali: uliwezaje kufikia Platinum Member hapa Jf? Ni kwa kuwepo Jf kwa miaka 15 au ?
Swali: Nikiwa Tayari kulipia Tsh 100,000 Leo nitalipia kwa njia gani Ili iwafikie Jf Ili kulinda Id yangu?Hapana, Platinum membership inatakiwa uilipie! Miaka ile kulikua na Bronze 🥉 na Gold 🪙 ila waliondoa na kuweka hio Platinum ambapo unalipia ONCE kiasi cha shilingi za Kitanzania 100,000 tu
Nadhani ipo thread ya namna ya kulipia Mpwa. Kuna namba ya simu unatuma ila unatuma PM kwa Moderators, pili, as far as I remember hakuna faida kubwa zaidi TU ya kuwaunga mkono JF, members wote wanaweza kupigwa BAN regardless ya status yako maadam umekiuka masharti, tabia na mienendo inayotakiwa ya JF.Swali: Nikiwa Tayari kulipia Tsh 100,000 Leo nitalipia kwa njia gani Ili iwafikie Jf Ili kulinda Id yangu?
Je nikilipia leo nitakuwa Platinum Member lini?
Je Platinum Member anafaidika nini na Jf zaidi ya members wengine?
Je Platinum Member huwa nao wanapiga Ban kama sisi wa kawaida?
Ubarikiwe kwa majibu yaliyo nyookaNadhani ipo thread ya namna ya kulipia Mpwa. Kuna namba ya simu unatuma ila unatuma PM kwa Moderators, pili, as far as I remember hakuna faida kubwa zaidi TU ya kuwaunga mkono JF, members wote wanaweza kupigwa BAN regardless ya status yako maadam umekiuka masharti, tabia na mienendo inayotakiwa ya JF.
Ukilipa Leo na ukawasiliana na Uongozi ni muda huo huo tu unakua na badge ya platinum
Barikiwa ndugu yanguUbarikiwe kwa majibu yaliyo nyooka
Getting older and Wiser....hahahahaha. ilikua JF ya maana haswaGetting older and older
Nimeimiss ile JF ile
Hapana mpwa hivi sasa hakuna content tena kama mwazoAione Invisible Maxence Melo Paw Asha D Abinallah hahaha
BTW Hongera sana Mpwa kwa anniversary ya 15yrs, mpwa wako MANI nahisi amehamia Tanga Jumla