Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Field Marshall..Ni mzee wa mabebezzz..you know..[emoji23][emoji23]Bila kuwasahau Mzee mwanakijiji na Fild Marshall aka sauti ya umeme.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Field Marshall..Ni mzee wa mabebezzz..you know..[emoji23][emoji23]Bila kuwasahau Mzee mwanakijiji na Fild Marshall aka sauti ya umeme.
Babu hiyo Laptop imekaa miaka mingi sana hapo kwenye mbupu, haijaziunguza kweli?Tafadhali usiende kuangalia ya kwangu. Mimi ndio kwanza nina miaka miwili japo naitwa Babu
Hivi rev. Masanilo yupo kweli? Kitambo sana huyu mzee na majibu yake kama ya Lodilofa 😄Naomba kuongeza machachari
Nyani Ngabu
Yoyo, noname, brother men, womaniser, Pundit, De jave, Nyamayao, Rev. Masanilo,
Mzee Mwanakijiji, WOS, Teamo, hao kwa uchache.
Hongera mpwa
Bubu ataka kusema BAKShukrani saaana sana akina @kyakamuhokaya Little Angel na wengine
Dah ID kongwe sanaWapi Jasusi je Iselamagazi
Amen AmenHongera mkuu umeupiga mwingi sana.
Hahaahaa kwanini ndugu yangu? Shukrani sanaHongera halafu jamaa unaonekana mtu poa sana.Ingawa sina uhakika.Hongera.
Wewe umetimiza miaka mingapi jf?😀Hongera sana
Nitake radhi we jamaaBabu hiyo Laptop imekaa miaka mingi sana hapo kwenye mbupu, haijaziunguza kweli?