Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Nimebadili ID mara sita sasa ila ningekuwa mkongwe sana ikiwa ningebaki na ID ya mwanzo .

Nimezikumbuka zile nyakati ambazo kukomenti hapa jamvini ilikuwa ni lazima utafakari ni nini unataka kuandika ,je una uhakika?

Kipindi ambacho usingeweza kumbeza yeyote kwa mchango wake ,kipindi ambacho kujibizana kwa hoja na wale walioko kwenye mfumo wa serikali ilikuwa ni kawaida sana.

Kipindi ambacho haka kamtandao kaliitwa Jamboforum hakika hapa palifana sana

All in all ya kale ni dhahabu , but hongera sana ndugu Elli
 
Nimebadili ID mara sita sasa ila ningekuwa mkongwe sana ikiwa ningebaki na ID ya mwanzo .

Nimezikumbuka zile nyakati ambazo kukomenti hapa jamvini ilikuwa ni lazima utafakari ni nini unataka kuandika ,je una uhakika?

Kipindi ambacho usingeweza kumbeza yeyote kwa mchango wake ,kipindi ambacho kujibizana kwa hoja na wale walioko kwenye mfumo wa serikali ilikuwa ni kawaida sana.

All in all ya kale ni dhahabu , but hongera sana ndugu Elli
Zilikua nyakati nzuri sana sana! Shukrani Kaka
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Swali langu ni je, kwa hiyo miaka 15 uliyokuwemo humu JF, umeifanyia nini JF kuifanya iwe bora zaidi?
 
Swali langu ni je, kwa hiyo miaka 15 uliyokuwemo humu JF, umeifanyia nini JF kuifanya iwe bora zaidi?
Swali zuri sana. Naomba nitaje mambo mawili tu ninayokumbuka.
1. Uanzishwaji wa Jukwaa la JF photo,
2. Ku-organize na kusimamia Safari ya Wana JF kutembelea Wagonjwa pale Ocean Road Hospital.

Hili la pili ndio kubwa saaana kwangu!
 
Swali zuri sana. Naomba nitaje mambo mawili tu ninayokumbuka.
1. Uanzishwaji wa Jukwaa la JF photo,
2. Ku-organize na kusimamia Safari ya Wana JF kutembelea Wagonjwa pale Ocean Road Hospital.

Hili la pili ndio kubwa saaana kwangu!
Hongera mkuu, unastahili kusherehekea.

Ila nina swali lingine la kizushi, hapo kwenye kuratibu safari ya wana JF kutembelea wagonjwa pale Ocean road, je mlikutana? Na mkatambulishana? Manake najaribu tu kuwaza siku nakutana na mtu kama Mpwayungu village sijui itakuwaje..[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera mkuu, unastahili kusherehekea.

Ila nina swali lingine la kizushi, hapo kwenye kuratibu safari ya wana JF kutembelea wagonjwa pale Ocean road, je mlikutana? Na mkatambulishana? Manake najaribu tu kuwaza siku nakutana na mtu kama Mpwayungu village sijui itakuwaje..[emoji23][emoji23][emoji23]
Those days hahahahaha ilikua Bomba sana saàna, baadhi tulifahamiana kama dada Asnam na wengine, tulipiga picha kabisa, tulianza kukutana pale ufukweni tukapanga mizigo yetu na tukapiga picha.

Baadae tukaenda kupata kinywaji kwa pamoja kwa hisani ya Maxence Melo . Ule Uzi siukumbuki jina
 
Hongera mkuu, unastahili kusherehekea.

Ila nina swali lingine la kizushi, hapo kwenye kuratibu safari ya wana JF kutembelea wagonjwa pale Ocean road, je mlikutana? Na mkatambulishana? Manake najaribu tu kuwaza siku nakutana na mtu kama Mpwayungu village sijui itakuwaje..[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kukuta Mpwayungu ni bonge la Mchungaji hahahahhah
 
Those days hahahahaha ilikua Bomba sana saàna, baadhi tulifahamiana kama dada Asnam na wengine, tulipiga picha kabisa, tulianza kukutana pale ufukweni tukapanga mizigo yetu na tukapiga picha.

Baadae tukaenda kupata kinywaji kwa pamoja kwa hisani ya Maxence Melo . Ule Uzi siukumbuki jina
Hongereni sana wakuu.
 
Back
Top Bottom