Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.

Topics zilikua very hot, 🔥 hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.

Machache kwa sasa
Bila kuwasahau Mzee mwanakijiji na Fild Marshall aka sauti ya umeme.
 
Hongera sana kwako. Mimi ningekuwa natimiza miaka 10 mwaka huu! Sasa kwa bahati nzuri nimebadili ID mara mbili.
Wewe ndugu huwa nakufananisha na yule ndugu alikuwa anaitwa MwanaDiwani. Kama sio basi ni 'Magonjwa Mtambuka'. Japo Mwanadiwani nyuzi zake zilikuwa ndefu ila miandiko yenu ni kama inafanana vile. Ha ha haa..
 
Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.

Topics zilikua very hot, [emoji91] hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.

Machache kwa sasa
Changamoto imejitokeza baada ya kila mtu kumiliki Smartphone huku tukiwa hatujui matumizi yake sahihi.

Zamani JF watu wengi (sio wote) walikuwa wanaingia kwa kutumia Computer, tena siyo PC, yaani Desktop kabisa..Kwahiyo unaweza ona wakati huo JF ilikuwa Platform ya watu type ipi!
 
Umezeeka hivo.
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
 
Make a wish [emoji1696]
Screenshot_20230317_212543.jpg
 
Pongezi sana kwako mkuu, na wale waliotangulia mbele za haki, tuendelee kuenzi michango yao ya hapa jukwaani; ''life is a process; birth to death''​
 
Wewe ndugu huwa nakufananisha na yule ndugu alikuwa anaitwa MwanaDiwani. Kama sio basi ni 'Magonjwa Mtambuka'. Japo Mwanadiwani nyuzi zake zilikuwa ndefu ila miandiko yenu ni kama inafanana vile. Ha ha haa..
Dah! Hapana mkurugenzi. Tena huyo Magonjwa Mtambuka ndiyo kabisaa!! Enzi za utawala wa Magufuli, tulikuwa tunatofautiana sana kwa hoja.
 
Changamoto imejitokeza baada ya kila mtu kumiliki Smartphone huku tukiwa hatujui matumizi yake sahihi.

Zamani JF watu wengi (sio wote) walikuwa wanaingia kwa kutumia Computer, tena siyo PC, yaani Desktop kabisa..Kwahiyo unaweza ona wakati huo JF ilikuwa Platform ya watu type ipi!
Sasa hv kuna bando hadi la jero 😁
 
Mkuu hongera sana.

Nasikia nyie wa mwanzo mwanzo humu mlinufaika sana kiuchumi kutokana na connections mlizozipata humu, Je kuna ukweli kuhusu hili mkuu kwa experience yako binafsi?
 
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.

Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.

Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.

Hongera sana.
 
Back
Top Bottom