Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Bila kuwasahau Mzee mwanakijiji na Fild Marshall aka sauti ya umeme.Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.
Topics zilikua very hot, 🔥 hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.
Machache kwa sasa
NdiyoHapahapa?
Wewe ndugu huwa nakufananisha na yule ndugu alikuwa anaitwa MwanaDiwani. Kama sio basi ni 'Magonjwa Mtambuka'. Japo Mwanadiwani nyuzi zake zilikuwa ndefu ila miandiko yenu ni kama inafanana vile. Ha ha haa..Hongera sana kwako. Mimi ningekuwa natimiza miaka 10 mwaka huu! Sasa kwa bahati nzuri nimebadili ID mara mbili.
Nyie wote Wakongwe. Hongera pia Mkuu..Congratulations brother Elli
Miaka 8 ila next month inakamilika 9.Nisaidie kujua nami ni miaka mingapi
Hakika MpwaBila kuwasahau Mzee mwanakijiji na Fild Marshall aka sauti ya umeme.
Hahahahaha yupoAione Invisible Maxence Melo Paw Asha D Abinallah hahaha
BTW Hongera sana Mpwa kwa anniversary ya 15yrs, mpwa wako MANI nahisi amehamia Tanga Jumla
Hahahaha could beWewe ndugu huwa nakufananisha na yule ndugu alikuwa anaitwa MwanaDiwani. Kama sio basi ni 'Magonjwa Mtambuka'. Japo Mwanadiwani nyuzi zake zilikuwa ndefu ila miandiko yenu ni kama inafanana vile. Ha ha haa..
Changamoto imejitokeza baada ya kila mtu kumiliki Smartphone huku tukiwa hatujui matumizi yake sahihi.Walikuepo akina Mtambuzi Malaria Sugu huyu alikua mkorofi sana (CCM) na jeuri nadhani alipigwa network ban, zumbemkuu MANI Regia Mtema (R.I.P) Mohamedi Mtoi (R.I.P) na wengine wengi. Tulikua kama ndugu. Members wengi hapo tulifahamiana baadae, Mpwa Mentor alivuma na shairi lake la Inside Verossa kiasi kwamba lilipostiwa kwenye platforms nyingine nyingi.
Topics zilikua very hot, [emoji91] hakukua na utoto sana ukilinganisha na sasa. Miaka ile JF ilionekana ya watu Fulani ambao upstairs walikua "vizuri". JF ilikua kama think tank ya TAIFA.
Machache kwa sasa
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
P..Ndiyo
Siogopi [emoji23]
Dah! Hapana mkurugenzi. Tena huyo Magonjwa Mtambuka ndiyo kabisaa!! Enzi za utawala wa Magufuli, tulikuwa tunatofautiana sana kwa hoja.Wewe ndugu huwa nakufananisha na yule ndugu alikuwa anaitwa MwanaDiwani. Kama sio basi ni 'Magonjwa Mtambuka'. Japo Mwanadiwani nyuzi zake zilikuwa ndefu ila miandiko yenu ni kama inafanana vile. Ha ha haa..
Sasa hv kuna bando hadi la jero 😁Changamoto imejitokeza baada ya kila mtu kumiliki Smartphone huku tukiwa hatujui matumizi yake sahihi.
Zamani JF watu wengi (sio wote) walikuwa wanaingia kwa kutumia Computer, tena siyo PC, yaani Desktop kabisa..Kwahiyo unaweza ona wakati huo JF ilikuwa Platform ya watu type ipi!
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.