Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

Alikuwepo kiongozi mmoja alitaka kuniweka jela kwa sababu flani na jela ningekwenda zaidi ya miaka 5. Kuna mtu akasema mwanaume anapenda ngono kuliko chochote duniani. Hasa wasichana ndio wanaume tunawapenda kwasababu ya nyama mbichi. Yule kiongozi tuli mtengenezea my ego wa msichana wa chuo flani tukaset video tokea wame kutana mpaka wameingia chumbani. Mule kwenye chumba(gesti) tukalipa mhudumu hela defu tuweke spy camera, yule kiongozi akafanya yake. Siku ya mahakamani tukamtumia short clip ya ngono yake na yule student, akauliza nani wewe tukamjibu futa kesi leo. Au tunatuma video kamili kwa wife wako na mtandaoni.
Anapo kuja mwanamke mwenyewe bila ya wewe kumfata fikiria mara 2.
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Mimi Sina mtu nina watu,but hawajanioa,so tuamue sasa Mimi nawe[emoji1732]
IMG_20220726_211218.jpg
 
Mkuu utakuwa umekaelewa sana ndo maana unahaha hadi kuanzisha uzi wa kuomba maoni JF, mfalme Suleiman alikuwa nao mia saba wewe watatu tu kelele kibao...
 
Mie kalikuja kakaanza kwa kunisifia eti nina macho ya kuchambua mchele, halafu kanaongea huku kanataka kuyashika masikio yangu, eeeeh! Nilikawahi kwa kukakemea (in voice of late bishop Kulola) "shindwa shetani na ulegee"

Kalishindwa na kalilegea nikawa nimeponyoka
 
Mkuu utakuwa umekaelewa sana ndo maana unahaha hadi kuanzisha uzi wa kuomba maoni JF, mfalme Suleiman alikuwa nao mia saba wewe watatu tu kelele kibao...
Ombea jambo kama hili lisikukute.
 
Wakuu,

Leo kuna binti kanifuata akasema ana jambo lake anataka kuzungumza na mimi.

Kwakua mimi huwa natoa ushauri wa kisheria basi nikajua nimepata mteja. Nikamwambia sawa ngoja nimalize shughuli tuzungumze. Sasa ananiambia kuwa ananipenda mno.

Na anataka nimpe jibu kama nimemkubali au la. Wakuu ndio kwanza nimepata katoto kadogo kana mapengo tu hata kuzungumza bado hakajui. Huyu naye ananiletea hadithi zake za mapenzi hapa naona ananichanganya tu.

Najua nikimkubalia nitaongeza mchepuko halafu niwe nalea mwanangu,mama yake,mimi, mchepuko namba moja ,mchepuko namba mbili na yeye pia.

Familia yangu itakua kubwa sana.
Utapata Stroke ukiendekeza ujinga.
Kwani ya mkeo Ina shida gani?
 
Ushajua,utakua wa-ngapi?
Muelekeo wa YEYE kukubalia ni mzuri,ila utumie zana,maana kasema ANAO... wengi,mtu hadi ku-confess hivyo,mmmh...
Mkuu si Bora to yeye amesema ukweli

Kama unategemea kuna mwanamke atakuwa na mwanaume mmoja tu basi unakosea Sana. Angalau yeye amesema ukweli na ukweli umweka mtu huru. to yeye mwaga mbususu hiyo achana na watoa ushauri nasaha wanaojifanya wanakujua sana😅
Cc kiboboso
 
Back
Top Bottom