Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaWakuu,
Leo kuna binti kanifuata akasema ana jambo lake anataka kuzungumza na mimi.
Kwakua mimi huwa natoa ushauri wa kisheria basi nikajua nimepata mteja. Nikamwambia sawa ngoja nimalize shughuli tuzungumze. Sasa ananiambia kuwa ananipenda mno.
Na anataka nimpe jibu kama nimemkubali au la. Wakuu ndio kwanza nimepata katoto kadogo kana mapengo tu hata kuzungumza bado hakajui. Huyu naye ananiletea hadithi zake za mapenzi hapa naona ananichanganya tu.
Najua nikimkubalia nitaongeza mchepuko halafu niwe nalea mwanangu,mama yake,mimi, mchepuko namba moja ,mchepuko namba mbili na yeye pia.
Familia yangu itakua kubwa sana.
Kuna siku nilikuwa narudi zangu home kwenye daraja flan nikakutana na kabinti sikafahamu kalikiwa kwenye sare za shule nikakapita tu kufika mbele kakanismamisha kakanambia Nakupenda..,nikakaangalia nikaenda zangu...
HahahaWatoto wadogo wamekuaje sijui ata Mimi kapo kamoja kananiambia nmekatesa kakiwa kidato cha pili mpaka leo kako kidato cha nne kameamua kuniambia hisia zake maana eti kanateseka.
Jibu langu : Nimekambia sitaki miaka thelathini ya magereza .
NaamAlikuwepo kiongozi mmoja alitaka kuniweka jela kwa sababu flani na jela ningekwenda zaidi ya miaka 5. Kuna mtu akasema mwanaume anapenda ngono kuliko chochote duniani. Hasa wasichana ndio wanaume tunawapenda kwasababu ya nyama mbichi.
Yule kiongozi tuli mtengenezea mtego wa msichana wa chuo flani tukaset video tokea wame kutana mpaka wameingia chumbani. Mule kwenye chumba(gesti) tukalipa mhudumu hela defu tuweke spy camera, yule kiongozi akafanya yake. Siku ya mahakamani tukamtumia short clip ya ngono yake na yule kiongozi, akauliza nani wewe tukamjibu futa kesi leo. Au tunatuma video kamili kwa wife wako na mtandaoni.
Anapo kuja mwanamke mwenyewe bila ya wewe kumfata fikiria mara 2.