Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Mkuu utakuwa umekaelewa sana ndo maana unahaha hadi kuanzisha uzi wa kuomba maoni JF, mfalme Suleiman alikuwa nao mia saba wewe watatu tu kelele kibao...
 
Mie kalikuja kakaanza kwa kunisifia eti nina macho ya kuchambua mchele, halafu kanaongea huku kanataka kuyashika masikio yangu, eeeeh! Nilikawahi kwa kukakemea (in voice of late bishop Kulola) "shindwa shetani na ulegee"

Kalishindwa na kalilegea nikawa nimeponyoka
 
Mkuu utakuwa umekaelewa sana ndo maana unahaha hadi kuanzisha uzi wa kuomba maoni JF, mfalme Suleiman alikuwa nao mia saba wewe watatu tu kelele kibao...
Ombea jambo kama hili lisikukute.
 
Utapata Stroke ukiendekeza ujinga.
Kwani ya mkeo Ina shida gani?
 
Ushajua,utakua wa-ngapi?
Muelekeo wa YEYE kukubalia ni mzuri,ila utumie zana,maana kasema ANAO... wengi,mtu hadi ku-confess hivyo,mmmh...
Mkuu si Bora to yeye amesema ukweli

Kama unategemea kuna mwanamke atakuwa na mwanaume mmoja tu basi unakosea Sana. Angalau yeye amesema ukweli na ukweli umweka mtu huru. to yeye mwaga mbususu hiyo achana na watoa ushauri nasaha wanaojifanya wanakujua sana😅
Cc kiboboso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…