Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

Ungetuelezea na sifa zake angalau tujue Kama kanatosha mboga au bado mkuu
 
Nikahisi ni Bei elelezi
 
Mle kimasihara
 
Dogo ni hivi...
mwanaume huwa hatongozwi.

Narudia tena...
Mwanaume hatongozwi.

Hapo nimemaliza.
 
Kwa hiyo mpaka Sasa Stroke una mke na masuria wawili!
 

Tumia sheria kusolve hilo
 
Umekuja kututambia idadi ya michepuko daah


Kizuri kula na nduguyo. Tugawie na sisi basi
 
Hadi dakika hii kasichana kadogo kameshateka hisia za janaume kubwa, ni suala la muda tu litakufa jitu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…