Leo nimetongozwa na Binti mdogo tu

Mlimtafutia mwanamke, mkamtafutia gesti na akaenda hiyo gesti. Huyo kiongozi alikuwa mjinga sana. Kawaida mwanaume anapeleka mwanamke gesti hapelekwi..
 
Samahani lakini ....mkuu ivi ulisha wahi angaliaga nyota yako? Nimuhimu sana usipuuzie ..... KUNA NYOTA ZA JELA tena miaka 30 .... elewa comment yangu
Mzee mzima nipo hapa nakuchora tu
👇👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220713-115531_Instagram.jpg
    163.5 KB · Views: 11
Mpelekee motooo
 
Mwambie asante ila umechelewa mie nimeshaoa na majukumu mengi pole ila nitajitahidi kukupatia wako kama watakupenda basi ni bahati au kama hawataki basi nitakuambia
 
Hako katombe tu halafu piga chini
 
Mm nimefatwa na kabint ka miaka 13 nikatamani dunia isimame nishuke kwanza
 
Mamabo yako yakiaanza kunyoka tu shetani anaanza kutum viwatu vyake[emoji23]
 
Ndo mtueleze kwa nini mnakubali kuwa michepuko
Aah hapana hatupendi kuwa michepuko ila sometimes nyie hamsemi ukweli mnapomtongoza mtu, unamwambia upo single kumbe una familia na watoto 7, mna dhambi sana nyie 😀
 
Kuna siku nilikuwa narudi zangu home kwenye daraja flan nikakutana na kabinti sikafahamu kalikiwa kwenye sare za shule nikakapita tu kufika mbele kakanismamisha kakanambia Nakupenda..,nikakaangalia nikaenda zangu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…