jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,408
- 2,184
Aanha...kwa hyo anafurahia Mamillion.Vitimaalumuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanha...kwa hyo anafurahia Mamillion.Vitimaalumuuu
Aisee! Yule miss kumbe unae wewe....wakubwa mnafaidi.Amefanikiwa kurudiana na Miss Natafuta
Umecomment kama MATAGA kwenye nyuzi za siasa!Wapi nimesema kuwa nammiliki mimi?Aisee! Yule miss kumbe unae wewe....wakubwa mnafaidi.
Be happy, God is in controlHasira niliyokua nayo Jana wangethubutu kwenda kinyume leo ningeungana na shetanj tukawauwe wajumbe wote wa kk
Orodha feki ile kuna jina limejirudia mara 190Umepewa ajira ya ualimu au umepewa uteuzi...Aya endelea kushukuru
Umepewa ajira ya ualimu au umepewa uteuzi...Aya endelea kushukuru
Leta ushuhuda BasiMungu ni mkuu, hakika anastahili heshima, utukufu na adhama. Katikati ya miungu hakuna kama wewe BWANA nitakutukuza wewe, nitalifu jina lako siku zote, nitakuabudu wewe tu.
Kamwe sito abudu wala kuyasifu matendo ya mikono ya watu iliyojaa udhalimu na damu zisizo na hatia.
Pesa kwangu daima hazitanifanya niondoke nyuani mwako, wacha wenye kupenda fedha waendelee kuwa watumwa wa fedha. Fedha ni chanzo Cha UOVU WOTE.
Umewaangusha wapanda farasi na magari yao yote.
Dah.. hakika umenifurahisha
Andika habari kamili mkuuMungu ni mkuu, hakika anastahili heshima, utukufu na adhama. Katikati ya miungu hakuna kama wewe BWANA nitakutukuza wewe, nitalifu jina lako siku zote, nitakuabudu wewe tu.
Kamwe sito abudu wala kuyasifu matendo ya mikono ya watu iliyojaa udhalimu na damu zisizo na hatia.
Pesa kwangu daima hazitanifanya niondoke nyuani mwako, wacha wenye kupenda fedha waendelee kuwa watumwa wa fedha. Fedha ni chanzo Cha UOVU WOTE.
Umewaangusha wapanda farasi na magari yao yote.
Dah.. hakika umenifurahisha
Ni raha sana majibu yako yanapojibiwa na aliye juu. Baraka za Mungu hazina mateso wala majuto
Turuuuu kweli kabisaPia haziambatani na huzuni pamoja!
Kwa herufi kubwa au ndogo?Andika habari kamili mkuu