Leo nina furaha sana usiku huu

Upuuzi tu, sio kupigana na mwenzio, hayo si mapenz ni upopoma,

Inabidi uwe na sababu ya kupigan wa ajili ya mtu, kitendo cha kukusaliti na kiwa na mwingine hiyo ni sababu tosha ya kupotezea, huwez kupoteza nguv jasho lako kwa mpuuzi..
Kupigana hapana ni ujinga. Kwanza mi sinaga nguvu naanzaje kupigana. Nitalia zangu napita pembeni story inaishia hapo
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…