Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kupigana hapana ni ujinga. Kwanza mi sinaga nguvu naanzaje kupigana. Nitalia zangu napita pembeni story inaishia hapoUpuuzi tu, sio kupigana na mwenzio, hayo si mapenz ni upopoma,
Inabidi uwe na sababu ya kupigan wa ajili ya mtu, kitendo cha kukusaliti na kiwa na mwingine hiyo ni sababu tosha ya kupotezea, huwez kupoteza nguv jasho lako kwa mpuuzi..