Leo nina furaha sana usiku huu

Leo nina furaha sana usiku huu

Hiyo ni kawaida..

Zitatumwa meseji mbili za watu tofauti 1 ya unaemzimikia ya 2 mtu usiempenda
1. Hi
2. Vipi hali yako kipenzi changu, umeamkaje malikia wangu.

Cha ajabu meseji ya pili sababu humpendi basi unaona kero japo ndio kimahaba zaidi na ya kwana utaiona lulu kinoma..

Mapenzi bwana[emoji23] [emoji23]
Docta kaniandikia gazeti kabisa
 
Tena akae mbali
Wengine tuliolewa na kina Maugo ngumi mkononi
Nimekupenda bure ms. Lincoln si mwanamke tumevamiwa anatoka nduki, tukivamiwa anakunja ngumi, wakija waduwanzi kuniyeyusha ambao hawampwelepweti anawashushia kibano mie huku nakunywa juis

Tukikerana hakuna kujibishana, tunavaa gloves tunapigana wee, atakaeshindwa ananyoosha mikono juu, msamaha ndio ushapita, tunakumbatiana, mate kinafata kitombo tuu.

Umenikosha sna, hebu nipe hicho kiberiti niwashe bangi yangu mie, we chukua hii mia 300 kanunue ugoro[emoji23] [emoji23]
 
Nimekupenda bure ms. Lincoln si mwanamke tumevamiwa anatoka nduki, tukivamiwa anakunja ngumi, wakija waduwanzi kuniyeyusha ambao hawampwelepweti anawashushia kibano mie huku nakunywa juis

Tukikerana hakuna kujibishana, tunavaa gloves tunapigana wee, atakaeshindwa ananyoosha mikono juu, msamaha ndio ushapita, tunakumbatiana, mate kinafata kitombo tuu.

Umenikosha sna, hebu nipe hicho kiberiti niwashe bangi yangu mie, we chukua hii mia 300 kanunue ugoro[emoji23] [emoji23]
Mwanaume huyo wewe shauri lako
 
Back
Top Bottom