Leo rasmi nawasanua watanzania. Tupo wachache sana tunaofahamu hili jambo

Leo rasmi nawasanua watanzania. Tupo wachache sana tunaofahamu hili jambo

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Ndugu watanzania!

Leo naandika hili na leo ndio mwisho wangu kuandika hapa JF, sio kwa ubaya bali kwa ridhaa yangu mwenyewe.

Kuna mambo matatu makubwa:

1. Ukiona matatizo yoyote yaliyopo TANZANIA fahamu kuwa huo ni mradi wa watu wakubwa wachache. Mfano: Ukiona urasimu, ukiona maisha duni ya watanzania na mengine mengi nikiorodhesha hayaishi fahamu kuwa ni miradi ya watu. Kwa maneno mengine kuna watu wametaka kwa makusudi iwe hivyo. Na hata ajaribuye kutatua hilo yatamfika ya kumfika, hili ni moja!

2. Sitaki kuwakatisha tamaa, lkn nawaambia ukweli tupu. Tanzania kuna wapinzani wa kweli kwenye vyama vyao, lkn wengi wao wanatumia upinzania kama ngazi ya kuingilia CCM ulaji. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa CCM ni msitu mnene wa watu wanaowinda maslahi yao iwe kiserikali, kifedha ama kichawi. Sasa wale wanaoshindwa kupambana na watabe kwenye game la ndani ya CCM huchagua upinzani km route yao ya kuingilia ndani ya CCM na hatimaye kuwaacha wafuasi wao midomo wazi. Wapinzani chukueni tahadhari mifano ya hili ni mingi mno! Hili ni la pili!

Tatu na mwisho kabisa, watanzania kwa ujumla wao ni binadamu wa aina yake. Wala hawana habari na Nchi yao kiviiiiiiiile, na ukijaribu kuwapigania wanaweza kukuchamba hadi ukazimia na usiwaelewe na wala wao wenyewe wasikuelewe yaani wakakuona hujielewi to the core. Kwa ujumla nasema 'Ufahamu' wa watanzania upo somewhere else may be no one knows! Hahahahaha....!

CCM Music!
 
Ha ha ha nimecheka kwa nguvu jirani yangu kaniuliza vipi, nikamuambia kuna mwamba yamemkuta huku, nadhani umeijua Tanzania hivi karibuni au ulikuwa unajua lakini ulikuwa huamini kile kinaendelea “ KILA MBUZI ALE KWA UREFU WA KAMBA YAKE”
 
Ulaya na America viongoz wanapambana kuingia madarakan ili KUWAPIGANIA WANANCHI WAPATE HUDUMA BORA

TANZANIA viongoz wanapambania madaraka ili waende KUWAKANDAMIZA WANANCHI WAWE MASIKIN ZAIDI

kifup mleta mada umechelewa Sana kuijua nchi yako

Tatizo kubwa n kwamba hata wanaotaka kukombolewa nao hawajui umuhimu wa UKOMBOZI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu watanzania!

Leo naandika hili na leo ndio mwisho wangu kuandika hapa JF, sio kwa ubaya bali kwa ridhaa yangu mwenyewe.

Kuna mambo matatu makubwa:

1. Ukiona matatizo yoyote yaliyopo TANZANIA fahamu kuwa huo ni mradi wa watu wakubwa wachache. Mfano: Ukiona urasimu, ukiona maisha duni ya watanzania na mengine mengi nikiorodhesha hayaishi fahamu kuwa ni miradi ya watu. Kwa maneno mengine kuna watu wametaka kwa makusudi iwe hivyo. Na hata ajaribuye kutatua hilo yatamfika ya kumfika, hili ni moja!

2. Sitaki kuwakatisha tamaa, lkn nawaambia ukweli tupu. Tanzania kuna wapinzani wa kweli kwenye vyama vyao, lkn wengi wao wanatumia upinzania kama ngazi ya kuingilia CCM ulaji. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa CCM ni msitu mnene wa watu wanaowinda maslahi yao iwe kiserikali, kifedha ama kichawi. Sasa wale wanaoshindwa kupambana na watabe kwenye game la ndani ya CCM huchagua upinzani km route yao ya kuingilia ndani ya CCM na hatimaye kuwaacha wafuasi wao midomo wazi. Wapinzani chukueni tahadhari mifano ya hili ni mingi mno! Hili ni la pili!

Tatu na mwisho kabisa, watanzania kwa ujumla wao ni binadamu wa aina yake. Wala hawana habari na Nchi yao kiviiiiiiiile, na ukijaribu kuwapigania wanaweza kukuchamba hadi ukazimia na usiwaelewe na wala wao wenyewe wasikuelewe yaani wakakuona hujielewi to the core. Kwa ujumla nasema 'Ufahamu' wa watanzania upo somewhere else may be no one knows! Hahahahaha....!

CCM Music!
Mafuta na moshi wa mwenge
 
Wewe waache wakubeze na uliyowaambia kwa kuzarau mwiba. Hebu nitafutie hizo connection huko ccm tule hivyo vidari vya kuku mr
 
Ndugu watanzania!

Leo naandika hili na leo ndio mwisho wangu kuandika hapa JF, sio kwa ubaya bali kwa ridhaa yangu mwenyewe.

Kuna mambo matatu makubwa:

1. Ukiona matatizo yoyote yaliyopo TANZANIA fahamu kuwa huo ni mradi wa watu wakubwa wachache. Mfano: Ukiona urasimu, ukiona maisha duni ya watanzania na mengine mengi nikiorodhesha hayaishi fahamu kuwa ni miradi ya watu. Kwa maneno mengine kuna watu wametaka kwa makusudi iwe hivyo. Na hata ajaribuye kutatua hilo yatamfika ya kumfika, hili ni moja!

2. Sitaki kuwakatisha tamaa, lkn nawaambia ukweli tupu. Tanzania kuna wapinzani wa kweli kwenye vyama vyao, lkn wengi wao wanatumia upinzania kama ngazi ya kuingilia CCM ulaji. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa CCM ni msitu mnene wa watu wanaowinda maslahi yao iwe kiserikali, kifedha ama kichawi. Sasa wale wanaoshindwa kupambana na watabe kwenye game la ndani ya CCM huchagua upinzani km route yao ya kuingilia ndani ya CCM na hatimaye kuwaacha wafuasi wao midomo wazi. Wapinzani chukueni tahadhari mifano ya hili ni mingi mno! Hili ni la pili!

Tatu na mwisho kabisa, watanzania kwa ujumla wao ni binadamu wa aina yake. Wala hawana habari na Nchi yao kiviiiiiiiile, na ukijaribu kuwapigania wanaweza kukuchamba hadi ukazimia na usiwaelewe na wala wao wenyewe wasikuelewe yaani wakakuona hujielewi to the core. Kwa ujumla nasema 'Ufahamu' wa watanzania upo somewhere else may be no one knows! Hahahahaha....!

CCM Music!
Yameshakukuta.... Yaani Pro CCM huwa wanahama jukwaa kwa stress. Nadhani huwa Wanaahidiwa mengi
 
Sisi huku kwetu tunapigania katiba yetu irudishwe ili tuendelee na utaratibu wa kisheria tuliokuwa nao zamani. Haiwezekani chama chetu kiitwe cha "Demokrasia na maendeleo" afu ndani ya chama hakuna demokrasia wala maendeleo. Fikiria watu wanajitokeza kugombea uenyekiti afu mwenyekiti ambae nae ni mgombea anawatisha kwa kuwambia wasijaribu kuonja sumu kwa ulimi, wengine wanauwawa mazingira ya kutatanisha (rip chacha wangwe) na wengine wenye kuhoji sababu ya mwenyekiti kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka 17 wanaishia kushambuliwa chamani na mitandaoni na genge lililoundwa na mwenyekiti ili kumlinda kwa namna yoyote. Lkn pia kwa upande wa maendeleo kama ilivyo ktk jina la chama ndo hovyo kbs, takriban miaka 20 hakuna ofisi kuu ya chama na viongozi wanaosimamia mashina huko mikoani hawalipwi kitu zaidi ya kutumiwa tu kama daraja na viongozi wa chama. Hata hivyo watu wanasubiri kesi za mwenyekiti zikiisha huko mahakamani tutaanzisha vuguvugu la kutaka iundwe tume ya kuchunguza namna mali za chama zinavyopotea kimya kimya bila mtu yoyote kutoka ngazi za juu kuhoji.
 
Ndugu watanzania!

Leo naandika hili na leo ndio mwisho wangu kuandika hapa JF, sio kwa ubaya bali kwa ridhaa yangu mwenyewe.

Kuna mambo matatu makubwa:

1. Ukiona matatizo yoyote yaliyopo TANZANIA fahamu kuwa huo ni mradi wa watu wakubwa wachache. Mfano: Ukiona urasimu, ukiona maisha duni ya watanzania na mengine mengi nikiorodhesha hayaishi fahamu kuwa ni miradi ya watu. Kwa maneno mengine kuna watu wametaka kwa makusudi iwe hivyo. Na hata ajaribuye kutatua hilo yatamfika ya kumfika, hili ni moja!

2. Sitaki kuwakatisha tamaa, lkn nawaambia ukweli tupu. Tanzania kuna wapinzani wa kweli kwenye vyama vyao, lkn wengi wao wanatumia upinzania kama ngazi ya kuingilia CCM ulaji. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa CCM ni msitu mnene wa watu wanaowinda maslahi yao iwe kiserikali, kifedha ama kichawi. Sasa wale wanaoshindwa kupambana na watabe kwenye game la ndani ya CCM huchagua upinzani km route yao ya kuingilia ndani ya CCM na hatimaye kuwaacha wafuasi wao midomo wazi. Wapinzani chukueni tahadhari mifano ya hili ni mingi mno! Hili ni la pili!

Tatu na mwisho kabisa, watanzania kwa ujumla wao ni binadamu wa aina yake. Wala hawana habari na Nchi yao kiviiiiiiiile, na ukijaribu kuwapigania wanaweza kukuchamba hadi ukazimia na usiwaelewe na wala wao wenyewe wasikuelewe yaani wakakuona hujielewi to the core. Kwa ujumla nasema 'Ufahamu' wa watanzania upo somewhere else may be no one knows! Hahahahaha....!

CCM Music!

[emoji23][emoji119]
 
Ulaya na America viongoz wanapambana kuingia madarakan ili KUWAPIGANIA WANANCHI WAPATE HUDUMA BORA

TANZANIA viongoz wanapambania madaraka ili waende KUWAKANDAMIZA WANANCHI WAWE MASIKIN ZAIDI

kifup mleta mada umechelewa Sana kuijua nchi yako

Tatizo kubwa n kwamba hata wanaotaka kukombolewa nao hawajui umuhimu wa UKOMBOZI

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tusidanganyane, hata huko Ulaya na Marekani viongozi wanapigania maslahi yao kwanza halafu ndiyo ya wananchi.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu hoja zako zinashiko ya kutosha sasa utachagua kuendelea kuwapigania Watanzania ama kuwaacha mpaka shetani atakapoamua kuwaachia toka kifungo cha kutojitambua na kujitambua ambapo wataweza chukua hatua
 
Ndugu watanzania!

Leo naandika hili na leo ndio mwisho wangu kuandika hapa JF, sio kwa ubaya bali kwa ridhaa yangu mwenyewe.

Kuna mambo matatu makubwa:

1. Ukiona matatizo yoyote yaliyopo TANZANIA fahamu kuwa huo ni mradi wa watu wakubwa wachache. Mfano: Ukiona urasimu, ukiona maisha duni ya watanzania na mengine mengi nikiorodhesha hayaishi fahamu kuwa ni miradi ya watu. Kwa maneno mengine kuna watu wametaka kwa makusudi iwe hivyo. Na hata ajaribuye kutatua hilo yatamfika ya kumfika, hili ni moja!

2. Sitaki kuwakatisha tamaa, lkn nawaambia ukweli tupu. Tanzania kuna wapinzani wa kweli kwenye vyama vyao, lkn wengi wao wanatumia upinzania kama ngazi ya kuingilia CCM ulaji. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa CCM ni msitu mnene wa watu wanaowinda maslahi yao iwe kiserikali, kifedha ama kichawi. Sasa wale wanaoshindwa kupambana na watabe kwenye game la ndani ya CCM huchagua upinzani km route yao ya kuingilia ndani ya CCM na hatimaye kuwaacha wafuasi wao midomo wazi. Wapinzani chukueni tahadhari mifano ya hili ni mingi mno! Hili ni la pili!

Tatu na mwisho kabisa, watanzania kwa ujumla wao ni binadamu wa aina yake. Wala hawana habari na Nchi yao kiviiiiiiiile, na ukijaribu kuwapigania wanaweza kukuchamba hadi ukazimia na usiwaelewe na wala wao wenyewe wasikuelewe yaani wakakuona hujielewi to the core. Kwa ujumla nasema 'Ufahamu' wa watanzania upo somewhere else may be no one knows! Hahahahaha....!

CCM Music!
Daa Nyerere simlaumu ila alikosea mno mno kutunyima elimu ya Uraia aic pamoja na elimu ya kawaida.
 
Back
Top Bottom