Leo rasmi nimeanza kutumia dawa kwa ajili ya pressure. Naanza staili mpya kuishi

Presure SHIDA- Tafadhali sambaza [emoji1313]:

Profesa KIZUMANGO wa Herbs Kuu ya Asilia ya Tanzania alisisitiza kuwa, ikiwa kila atayepokea ujumbe huu atausambaza kwa watu kumi, bila shaka angalau maisha ya mtu mmoja yataokoka....
Nipigie no. 0584765575 kwa ushauri na tiba mbalimbali za kiasilia.

mimi nimeshafanya sehemu yangu, natumai nawe utafanya.
[emoji1313]
maji ya nazi yaliyo moto yanaweza kukuokoa

sambaza kwa wengine... eneza upendo kwa wingi!

Maji ya nazi yaliyo moto~ tu yanaua viini vya cancer..!

[emoji1314] kata vipande viwili au vitatu vya nazi ndani ya kikombe, weka maji ya moto ndani yake, itakuwa "alkaline water" , unywe kila siku, ni mazuri kwa kila mtu.

[emoji1314]maji ya nazi yaliyo moto yanatoa viini vyenye kupigana na cancer, ambayo ndio matibabu ya kisasa ya cancer yenye athari katika nyanja za matibabu.

[emoji1314]maji ya nazi ya moto yana athari kwenye uvimbe ( cysts and tumors). Imethibitika kuwa matibabu ya aina zote za cancer.

Aina hii ya matibabu kwa kutumia maji ya nazi inavunja viini sugu, haiathiri viini vyenye afya.

kwa kuongezea, amino acid na coconut polyphenol zinazopatikana ndani ya maji ya nazi zinaweka sawa high blood pressure BP. na kusaidia kuzuia clot kwenye mishipa ya damu, inaweka sawa mzunguko wa damu mwilini.

[emoji257] ukimaliza kusoma wasambazie wengine... eneza upendo..!

[emoji1303]TUNZA AFYA YAKO.. Napatikana ACTION HERBS CLINIC
 
Pole sana kiongozi
 
Pole sana kwa tatizo hilo la presha ya kupanda (Hypertension), lakin uamuzi uliofanya wa kuacha dawa sio sahihi ukizingatia presha bado ipo kt hali ya hatari, ni kweli baadhi ya dawa huwa changamoto kwa baadhi ya wagonjwa lakin unachotakiwa kufanya ni kurud kwa Dr wako na kumueleza unavyohis then mtashauriana dawa gani utumie.

Kwahiyo naomba usiache dawa, presha huwa ni chanzo cha kuharibu organs zingine kweny mwili ikiwemo figo na km haitakuwa controlled inaweza kupelekea kupata CVA(stroke). Rudi kwa Dr wako atakubadilishia dawa. Ikubali hiyo hali na kuwa tayari kwa maisha mapya, lifestyle na nini washaeleza hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…