Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi vichekesho huwa mnadownload wapi?Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!
Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
Anayesinzia night club ni mlevi tu, hakuna mtu sober anaweza kusinzia kwenye kelele.Wewe hukuwa na usingizi, jiulize anayesinzia night club na mziki wote unaopigwa
Umeeleweka kiongozi wangu [emoji120]Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!
Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
Type word chrislam usome Google, Church hilo linajengwa kule Abu Dhabi (chrislam church)Hivi vichekesho huwa mnadownload wapi?
Kuna tofauti na vile vya Vatican ndio imeanzisha Uislamu?
Huyo si amelewa.Wewe hukuwa na usingizi, jiulize anayesinzia night club na mziki wote unaopigwa
Mhh si kwa ubaya Ila usiombe uishi karibu na msikiti au kanisa la kilokole alfu uwe uabudu sehem kokote huko.Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao,usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa,zamani jilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Na huyu angekua kachoka asingewasikiaAnayesinzia night club ni mlevi tu, hakuna mtu sober anaweza kusinzia kwenye kelele.
Tuma hiyo video nisikilize mimi tomaso.Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!
Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
Google inalishwa data na nani?Type word chrislam usome Google, Church hilo linajengwa kule Abu Dhabi (chrislam church)
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Dini ni mzigo mzito sana kwako?Not correct wao kuwa na maombi yao kwa sauti si vibaya wanazingatia uhuru wa kuabudu na kutangaza dini yao ama wewe unae wasema wanaibada wenye kukesha kuabudu mola wao (bila kujaji Mungu wa nani ndio sahihi) basi ni kutokana na chuki zako juu ya dini na kuto penda kuabudu na umeridhika kuona akili yako ni sufficient
Sema tu RC ni satanic believers usimung'unye manenoTuma hiyo video nisikilize mimi tomaso.
Pia RC hawajawahi fanya kitu bila plan..kunakitu kinatengenezewa don't get fooled...hao ndio watawala wa dunia hii.
#MaendeleoHayanaChama
Mtapambana sana lkn hamtoshinda, walikuweko, mpo na watakuwepo km wewe lakini imani inaendelea. Pambania roho yako mana hata hapo uliposimama Inawezekana sipo penyewe. Uwe na jumapili njema.Sema tu RC ni satanic believers usimung'unye maneno
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wewe na mimi hatuna uhakika katika hili..ila kilichoa badili na kutilia shaka hili ni kitendo cha rc kuchanganya ukristo na tamaduni za kiroma.Sema tu RC ni satanic believers usimung'unye maneno
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app