Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Huo utafiti ulifanyika wapi kuback up haya madai yako?Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
Na hiyo ya kusema Yesu ni shetani alisemea wapi? Unaweza kuweka chanzo cha hiyo habari hapa?