Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

Leo sijalala sababu ya kipaza sauti cha msikiti

Ninalisifu Sana Kanisa Katoliki kwa kufanya ibada zao kuto kukera watu wengine.

Wao ni kengele ya kuwaita watu kusali tuu na baadaye ibada zao ni ndani kwa ndani kwa waliohudhuria tuu.

Hii , imekuwa tofauti na Imani nyingine kuwakera watu wengine wasiokuwa wa Imani yako. Unakuta mtu anaweka madpika makubwa usiku anafungulia sauti mpaka ya mwisho kelele tupu.

Najua uhuru wa kuabudu ni WA kikatiba lakini haki za binaadamu zinasema UNAPOFURAHIA UHURU WAKO ANGALIA USIINGILIE UHURU WA WENZAKO Wewe una haki ya kuabudu , na wenzako Wana haki ya kupumzuka.

Unaweza, kufanya kwa kulazimisha au ubabe tuu ukionyesha supremacy ya dini yako au kudhani kuwa kwa kufanya hivyo una I market Imani yako ili kuongeza waamini lakini kinyume chake UNAFANYA WATU WANAOKEREKA KUICHUKIA IMANI YAKO NA KIMOYOMOYO KUFANYA WATU WATAMKE MABAYA KUHUSU UNAYEMUABUDU
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao

Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa

Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Huyo shetani amekuingia mkemeeeeee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wale wa shalaaaah swalaaaah. dah wanatutishaga kinoma, mara nyumba ndio kaburi lako, shuka ndio sanda. hii kitu ilinifanya nikakate waya za amplifier yao msikiti mmoja mtaani.
 
Nimewahi kuishi katikati ya misikiti miwili, kila siku asubuhi wanashindana kwa kubatuka kiarabu kwenye vipaza sauti, ilikua inanikera mpaka basi. Bora hata watumie lugha inayoeleweka na watu wote labda ukae usklize wanachokisema, ila abdulilakati akbar sijui na mavitu gani...
 
Kuna wale wa shalaaaah swalaaaah. dah wanatutishaga kinoma, mara nyumba ndio kaburi lako, shuka ndio sanda. hii kitu ilinifanya nikakate waya za amplifier yao msikiti mmoja mtaani.

Nimecheka sana ujue...
 
Kuchoma betri kauai imani ya ukristo iliyodumu MIAKA mingi mfano ana nukuliwa akisema jesus is Satan,halafu akiufagilia uislamu KWA Sana, chrislam ni Dini mpya ya NEW WORLD ORDER Inayohubiriwa na Huyo Mzee!

Ndio Binadamu anaechukiwa Sana na jamii ya WAKRISTO duniani KWA Sasa Papa fransis
WAKUU CHUNGUZENI MAANDIKO VIZURI [emoji144][emoji116]

METHALI 14:15.

MATENDO 17:11-12.

DANIEL 7.

UFUNUO 17.

Tukiwaambia Watu kuwa hiyo dini inafafanuliwa vizuri ktk Maandiko Matakatifu "BIBLIA" kuwa ni wakala wakuu wa Shetani ktk kutimiza UNABII wa siku za mwisho lakini bado tu Watu wanaendelea kushupaza shingo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Type word chrislam usome Google, Church hilo linajengwa kule Abu Dhabi (chrislam church)
Shida Watu ni wavivu sana kusoma vitabu mbali mbali ili wapate maarifa.

Huwezi kusoma NENO LA MUNGU "BIBLIA" ukashindwa kuelewa vitu rahisi kama hivyo.

Wabongo tuna shida sana ktk kusoma, sijui ni wavivu tu au ndiyo bado tumefungwa ktk giza la yule Adui?

Mungu atusaidie tuwe na bidii ya kusoma BIBLIA ipasavyo ili tuwe na maarifa.

HOSEA 4:6.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Msikitini au Kanisani wawe na vyombo vinavyotoa sauti kwajili ya waliomo humo ndani pekeake.

Wewe unawaumini wako 200 humo kanisani/ Msikitini weka sauti ndogo inayowatosha ninyi kusikilizana humo ndani.

Kama wanataka kuhubiria watu wengi zaidi, wawe wanaomba vibari wahubiri kwenye maeneo ya wazi yaliyotengwa kwa shughuli hizo.
 
Na ukiristu wangu. Umeongea upumbavu.

Sisi Kuna walokole.

Sometimes tunaweka spika zetu viwaanjani Tena Yale maspika ya viwanjanvikubwa sisi wagalatia zinakaa kwenye uwaanja mdogo mdogo Kwa kweli waislam ni wastaarabu. Nahisi tu ukiwachokoz utahama.

Ndgu yangu TIK tukae Kwa kitulia
 
Yaani dini zimekuwa fujo sana, maana watu wanaoabudu katika hizo nyumba wanafikiri kwamba wako sahihi kumbe wanaharibu mazingira kwa watu wengine,
Waalimu na mafarisayo ndiyo kazi yao kujifanya wanamjuwa Mungu wakati wanafuga majini kama paka.
 
Kuna walokole pia wansokesha wakisali na kuimba kwa kelele nyingi.. Yani sasa hivi ukipata pa kuishi ambapo sio karibu na hizi nyumba za ibada uta enjoy sana...
Hawajali kuhusu privacy za wengine
Hawajali kuhusu mapumziko ya wengine
Hili likemewe na ikiwwzekana lianzishiwe harakati. Maana linaweza kusababisha matatizo ya akili.
Mtu kukosa usingizi wa kutosha kuna athari zake.
Na wapo pia wa vigodoro na mikesha ya uswahilini hata kwa siku 3. Kwahiyo kwa mtu asiyependa kelele, anakosa usingizi kwa siku 3 na inaweza kusababisha kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi hasa kwa waliojariwa ambao ni lazima kesho yake waende kazini.
 
Mimi iwe msikiti au watu wa kanisa ntalala vizuri tu kelele za magari kuishi karibu ya bara bara au machine kuunguruma hapa ndio mtihani kwangu...
 
N
Swallu ala nnabii.
Tunasherekea mazazi ya mtume wetu mtukufu Muhammad bin abdillah.
Tarehe 24 mwezi wa 12.kwa sheikh Mohamed mapinga.
Tunakula MPUNGA.
panapo uzima nitakwenda.
Nyie ndo mnasababisha tunatukanwa humu kila siku, kwa kuacha kwenu misingi ya uislamu na kukimbilia kuadhimisha sherehe zisizokuwemo kwenye dini.
 
Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao, usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa.

Zamani jilidhani adhana ni ya kuitana tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa.
Aisee huwa inakera sana hasa ukienda mikoa ambayo waislamu wengi. Nadhani ipitishwe sheria iwe marufuku kupigiana kelele
 
Nimewahi kuishi katikati ya misikiti miwili, kila siku asubuhi wanashindana kwa kubatuka kiarabu kwenye vipaza sauti, ilikua inanikera mpaka basi. Bora hata watumie lugha inayoeleweka na watu wote labda ukae usklize wanachokisema, ila abdulilakati akbar sijui na mavitu gani...
Wewe una chuki sana na uislamu na hili haliupunguzii uislamu chochote, wewe dini yao wanaelewa wewe yanakuuma nini?.
 
WAMAN YAAMAL MITHKALA DHARAT,KHAIRAIYARA
 
Adhana ni alama miongoni mwa alama za uislamu, kule kuadhiniwa kwa sauti ni ibada tayari na ni ishara ya kudhihirisha uislamu kwenye miji hiyo, kwani pana mahali adhana haitoki kabisa watu wanaenda kwa kuangalia saa.

Ila nchi za kiislamu kama tanzania adhana ni popote tu mpaka raha, alhamdulillah kwa neema hii.
Sasa nchi ikiwa ya kiislam ndiyo nini?
 
Back
Top Bottom