Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Mimi niko macho na ninachokwambia ni uhalisia, maana kwetu nchi kuwa ya kiislamu hakushurutishi kuhukumu kwa sheria za kiislamu.Nchi za kiislam kama tanzania??
Amka usingizini mkuu, kumekucha
Sawa mimi sitokutukana, ila wanaolalamikia mfumo kristo hawajui hata huo mfumo kristo ni kitu gani, na huenda wameingia kwenye mambo yasiyowahusu ndio maana wakakutana na balaa, ila sisi alhamdulillah tupo kwenye kheri kubwa hapa nchini kwetu.Nchi ya kiislam halafu hapohapo mnalalamika kuwa mnatawaliwa na mfumo kristo.
Nyie jamaa ni wapumbavu sana
Hii ni nchi ya kiislam kwa Katiba ipi?Mimi niko macho na ninachokwambia ni uhalisia, maana kwetu nchi kuwa ya kiislamu hakushurutishi kuhukumu kwa sheria za kiislamu.
Hizi ndoto za Tanzania kuwa nchi ya kiislam mtaendelea kuziota sana... but that WILL NEVER HAPPEN.Mimi niko macho na ninachokwambia ni uhalisia, maana kwetu nchi kuwa ya kiislamu hakushurutishi kuhukumu kwa sheria za kiislamu.
Yaani mimi nazungumzia kwa mujibu wa uislamu wewe unaniambia habari za katiba, kwani tunajadili siasa hapa mkuu.Hii ni nchi ya kiislam kwa Katiba ipi?
Katiba ya nchi ya Tanzania inasema Tanzania ni nchi ya dini gani?
Najua unakasirika sana na zaidi unachukia sana kwa maandishi yangu haya, lakini huo ndio uhalisia mkuu kwa mujibu wa dini yetu tanzania ni nchi ya kiislamu na tuko huru kufanya harakati zetu na kuzidhihirisha bila kubughudhiwa na yeyote.Hizi ndoto za Tanzania kuwa nchi ya kiislam mtaendelea kuziota sana... but that WILL NEVER HAPPEN.
Kama unapenda sana hizo taratibu za nchi za kiislam hamia Iran au Afghanistan.
HapanaDini ni mzigo mzito sana kwako?
bora ungelipoti kwa serikali ya mitaa ababu hiyo sio adhana bali ni ushenzi tuNaandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
tatzo tuna nidhamu ya wogo mbona ukiwapeleka kwa serikali ya mtaa heshima inakuwepo?sisi tulipinga mtaani kwetu lisijengwe kanisa tulijikusanya tukapeleka pingamizi mahakamani likasitishwaKuna walokole pia wansokesha wakisali na kuimba kwa kelele nyingi.. Yani sasa hivi ukipata pa kuishi ambapo sio karibu na hizi nyumba za ibada uta enjoy sana...
Hawajali kuhusu privacy za wengine
Hawajali kuhusu mapumziko ya wengine
nenda mahakamani hacha nidhamu ya wogaUchafuzi wa hali ya hewa kwa mgongo wa dini bado ni tatizo sana Tanzania. Hua najiuliza hizi misikiti haiwezi kuishi bila vipaza sauti? Hivi hata huko ulaya ni mavipaza sauti tu?
Nadhani ifike mahala watu wafundishwe panctuality, nina boss wangu ni muislamu, jamaa nadhani hahitaji kipaza sauti, yuko so panctual, muda ukikaribia tu jamaa ataomba radhi ya udhulu na kuondoka, swala zote.
Sasa watu wote wakiwa hivyo hizi kelele hazitakuwepo. Hata makanisa yatumie sound proof. Kuna kanisa niko nalo hapa jirani, siku ya jumapili ni balaa tupu.
Hivi vitu vile regulated.
Hakuna kinasumbuaga kinakata stimu hata minyanduana ukipigia tu huyo muazini mnaacha aseeKatika msisha yangu ya ugalatia sijawshi kuona mbaguzi wa kidini kama wewe
Wenzio wakisikia kelele za kumsifu Allah wanapataga usjngizi Mnono[emoji38][emoji38]Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na waislam kwenye vipaza sauti vyao, usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani misikitini basi mpaka SA 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika sa10 wakarudi tena mpaka sasa.
Zamani jilidhani adhana ni ya kuitana tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa.
TakibiiiirWewe hukuwa na usingizi, jiulize anayesinzia night club na mziki wote unaopigwa
Makanisa ya kimichongo hayako pande hizo? Bora hata hao wa dini ya haki Ni siku mojamoja.Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya kelele zinazopigwa na Waislam kwenye vipaza sauti vyao
Usiku wa kuamkia leo sijalala kabisa sijui kulikuwa na shughuli gani Misikitini basi mpaka Saa 8 usiku wanasikika wao tu wakapumzika saa 10 wakarudi tena mpaka sasa
Zamani nilidhani adhana ni ya kuitana Tu baada ya hapa kinachoendelea wananchi hatusikii lakini naona ni tofauti kila kitu kinawekwa hewani kila mtu asikie nadhani sio sawa
Dini ya haki??????ni ipi unachekesha kweliMakanisa ya kimichongo hayako pande hizo? Bora hata hao wa dini ya haki Ni siku mojamoja.
ivi kushuoaliaga ilo neno la dini ya haki iyo haki ni ipi wanayomaanisha hawa wavaa kobazi mim bado sijaifaham kwakelDini ya haki??????ni ipi unachekesha kweli