Leo Simba SC 'Wamenivuruga' naombeni kujua 'Kick Off' ya Mechi ya Yanga SC na Vipers FC ni Saa ngapi?

Leo Simba SC 'Wamenivuruga' naombeni kujua 'Kick Off' ya Mechi ya Yanga SC na Vipers FC ni Saa ngapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE leo nataka niiangalie Klabu inayojua Kusajili Wachezaji wa maana, wenye Afya, wanaojitambua, wenye Uwezo na Mafundi Watupu wa Yanga SC na siyo wa Timu zingine ambazo Wachezaji wao Afya hawana, hawajui Mpira na hata Mechi zao zote za Pre Season wamecheza na Wapishi na Wachezaji wa Academy tupu.

Kama kawaida yangu leo Macho yangu yako kwa Yanick GENTAMYCINE Bangala, Khalid GENTAMYCINE Aucho, Fiston GENTAMYCINE Mayele na aliyetulaza mapema Chupli Chupli FC ( Wazee wa Kuongeza Sifuri katika Mahesabu ya Fedha ) Feisal GENTAMYCINE Fei Toto.

Mtaninunia Sajilini Kiakili niwapende!!
 
GENTAMYCINE leo nataka niiangalie Klabu inayojua Kusajili Wachezaji wa maana, wenye Afya, wanaojitambua, wenye Uwezo na Mafundi Watupu wa Yanga SC na siyo wa Timu zingine ambazo Wachezaji wao Afya hawana, hawajui Mpira na hata Mechi zao zote za Pre Season wamecheza na Wapishi na Wachezaji wa Academy tupu.

Kama kawaida yangu leo Macho yangu yako kwa Yanick GENTAMYCINE Bangala, Khalid GENTAMYCINE Aucho, Fiston GENTAMYCINE Mayele na aliyetulaza mapema Chupli Chupli FC ( Wazee wa Kuongeza Sifuri katika Mahesabu ya Fedha ) Feisal GENTAMYCINE Fei Toto.

Mtaninunia Sajilini Kiakili niwapende!!
kweli mimba Ina namna inavyomchukua kila mwanamke!

Wakuu tuwaheshimu kina mama.
 
Karibu uangalie Yanga Princess muda huu wanakinukisha hapa uwanja wa Mkapa! Wadada wanacheza kama Barcelona vile! Wanaongoza 4 bila!!


Yanga ni tamu aisee!
 
Wallace Karia yupo na Rais wa CAF Arusha, atamleta kwenye Simba kisha kuyazuga mazuzu kwamba amealikwa na Simba day ili kuficha magumashi yao, na wapo mambumbumbu watashingilia hili na kusahau usanii wa viongozi wao.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Genta kama Genta Leo utawaua aisee wapumzishe kidogo
Ndiyo wamenizidi Kunivuruga nasikia wanaachana na Manzoki na wanamsainisha Mzungu wa Kocha Mserbia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom