Leo STUNTER Ninatongoza LIVE mkishuhudia

Ur a gentleman [emoji122] [emoji122] [emoji122] hongera, few of men ambao wana akili kama zako, maneno ukiongea meengi mwishowe huwa uongo
...ka binti sasa mbona unaenda nje ya box .....nambie will you...o!?? Na siyo extra kaa hizooo...
 
Naona binti scopion anachelewa kujibu kama ajira za mkuu.
Kajipange upya mkuu stunter
 
nimefuatilia but kaka unapuyanga unatuaibisha siku izi huwa hatutogozi bali inakubidi uwe mchezi mtu wa kuwafurahisha hawa viumbe coz hakuna mschana ambaye huwa anapenda kujisikia karaha so ukiwa unamtania na kumchekesha mbna unakula mzigo
but kwa hizo vocal zako sahau kaka maisha magumu alafu na ww uanaleta mashairi badala ya kumfurahisha na asahau leo nimepiga mtoto mkali bila kutongoza but tulizoeana sana
 
Ha haa STUNTER yamemshinda sasa anataka uzi ufutwe...
 
Nikinywa maji nakuona katka glass, usiku silali nakuota ww scorpio me
 
Kwanini sasa wafute?
Lazima akimbie, nani anataka makelele/kunukishana midomo kwa kutongozana mjini!
kwani mi na wewe tumetongozana Valentina ila tunajua kuwa tunapendana na if we want to do it hamna tena kuimbishana! hata tukiwa mabubu mengine bado tutaelewana!
 
Maongezi hayana nafasi sana ktk kuwapata hawa viumbe. We weka tu funguo ya gari kwa Avatar yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…